Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 432
- 694
Ndugu zanguni Habari zenu,
Naombeni anaye jua jinsi ya kumaliza sumu inayonitesa ya dawa niliyotumia ya Maleria inaitwa Malafin.. yaan tangu nitumia zilipopita siku 7 tu.. baada ya hapo nimeanza kumwa mifupa ma kuvimba mwili yaan naumwa usiku silali. Viganja vya mikono vinauma mifupa kwa ndani siwezi shika kitu nalala tu kitandani maana hata nyayo za miguu zina uma utadhani kuna makaa ya moto yameweka kwandani yaan mifupa inauma siyo kawada.. na homa kali inapanda maana nina vimba uso na mwili mzima nina washwa siyo kawaida..
Naombeni ushauri wa Madoctor nitumie nini kuondoa hii sumu maana naumwa tangu alhamis mpaka leo Jumapili siwezi fanya kitu mpaka nalia kama mtoto..
Nielekezeni nifanyanyaje maana kila kukicha hali ya mifupa ndio inakuwa mbaya sana.
]
Naombeni anaye jua jinsi ya kumaliza sumu inayonitesa ya dawa niliyotumia ya Maleria inaitwa Malafin.. yaan tangu nitumia zilipopita siku 7 tu.. baada ya hapo nimeanza kumwa mifupa ma kuvimba mwili yaan naumwa usiku silali. Viganja vya mikono vinauma mifupa kwa ndani siwezi shika kitu nalala tu kitandani maana hata nyayo za miguu zina uma utadhani kuna makaa ya moto yameweka kwandani yaan mifupa inauma siyo kawada.. na homa kali inapanda maana nina vimba uso na mwili mzima nina washwa siyo kawaida..
Naombeni ushauri wa Madoctor nitumie nini kuondoa hii sumu maana naumwa tangu alhamis mpaka leo Jumapili siwezi fanya kitu mpaka nalia kama mtoto..
Nielekezeni nifanyanyaje maana kila kukicha hali ya mifupa ndio inakuwa mbaya sana.
]