Nateseka na ndoto

Chukua chumvi ya mawe (sea salt) kidogo tu mix na maji kidooogo ili kwamba chumvi ikolee sasa, nyunyiza ndani ya nyumba yako. Matokeo yake ndo yatakufanya unitafute. Nyunyiza wakati wowote. Hizo negative energies zi-banish/ lender them powerless in Yeshua's name. Pia nenda k'koo mtaa wa Nyamwezi opposite na kituo cha magari ya mwenge (purple-belt), nunua mafuta ya mrehani (basil). yako conscetrated sana angalia usishike nguo yataacha rangi/madoa, njoo uweke kitone kimoja katika kila kona ndani ya nyumba/chumba chako wakati wowote. I always use the mighty name of Yeshua (Jesus). Kama ni watu wabaya you will never see them. Zaidi ya hapo ukipenda nitafute.
 
Pole sana, jitahidi kupanga vizuri muda wa chakula cha usiku (kuanzia masaa 3-4) kabla ya kulala, na usile kiasi kikubwa cha chakula yawezekana ndoto hizo zinachangiwa na ulaji wa bila mpangilio. Pili kama ni kuhusu imani za uchawi ama mapepo simama kwa imani yako soma dua ama sali kila upatapo nafasi na kumuomba mwenyezi mungu akuepushe na ndoto hizo chafu. Again pole sana.
 
Kula pombe ndo ulale hao ni wachawi wanakuletea offer ya kuingia kwenye contract ya kuloga so Hang'over na uchawi haviendani watakupotezea.Nipo serious kaka.

kula kiroba
 

Uko singo, unalala na demu. Badili tabia yako, tafuta mke uoe, then utayaona matokeo yake. Wacha kulala na demu
 


Sasa mbona hapo kwenye blue and bold umejichanganya mwenyewe? Hakuna sala nzuri kama sala ya faragha, ambayo ni baina ya Mwanadamu na Mungu wake directly. Haijalishi unasali kwa Mwingira, Kakobe, Gwajima, au kwa Kardinali Pengo, sasa wauliza kwa imani ipi ikimaanisha nini? Hivyo cha kumshauri hapa ni kudumu katika maombi, kwa imani aliyo nayo hata kama kidogo vipi, Mungu atamwonesha njia.
 

Safi kabisa,
Man, You need Jesus!
Njia pekee ya kushinda ni kumpokea Yesu na kuomba, ndipo utakapokuwa salama. i can be helpful to you. ni PM.

shetani wala majini hayaogopi Biblia, na huwa yamokwenye biblia kutia watu uvivu na uchovu wasisome neno la Mungu.

Yaani, ni hivi wadau, bila kuwa na Yesu (kuokoka), anything can happen to you at anytime. Unaweza kufa saa yoyote maana huna ulinzi wa Mungu.
 
Telo umenigusa sana mpaka nimewiwa kuchangia.Sincerely hakuna kitu huwa kinanishangaza kama unamweleza mtu tatizo anakimbila kusema nenda kwa mtu flani akuombee?! kwa nini usimwambie aombe au wewe umwombee?Tunajua wako wapakwa mafuta na wana mamlaka lakini kama ulivyosema Mungu ametupa mamlaka makubwa sana ambayo tukiwa na imani yanaweza kututendea maaajabu tukiyatumiia.Hivi huwa hatujiulizi ni wa nini hao tunaowakimbilia watuombee wanasisitiziza uwe na imani kwanza?its obvious ukiwa nayo wala hutaitaji kukimbilia ubungo au mikocheni kwa kila tatizo unaweza kulimaliza mwenyewe.
Kitu kikubwa ambacho wengi hatujui ni kwamba ndoto ni mambo ya kiroho yanayonabeba mtizamo wa maisha yetu ya nje na ndio mana ndoto nyingi (ambazo haziusiani na ulifanya au kutenda kabla)ni mtizamo wa masha yetu.Na sisi Wakristo tunaambiwa usipoota umekufa kiroho,au ukiwa unasahau uliyoota pia umekufa kiroho.Tunayojua vile ambavyo katika Biblia Mungu aliwafunilia watu wake mambo mbalimbali katika ndoto.
Ndugu ukikimbilia kuombewa na bado ukarudi ndani kwako ukaendelea kulala kama boga habari itakuwa ndo hiyo hiyo unatakiwa uanze mwenyewe kabla ya kulala kuomba kwa imani yako na kuomba ulinzi wa Mungu na ukiota ndoto mbaya unatakiwa kuamka mara na kuomba kuivunja kwa imani na mamlaka isikutokee.Kila mara huwa najuta niliota ndoto flani several years back wakati huo sikuwa najali kitu kuhusu ndoto imenitokea mwaka jana and i huwa sifanyi kosa tena nikiota ndoto mbaya.
 
Hao ni freemasons,huwa wanaanza hivyo.Utaula muda c mrefu,utaishi maisha ya raha sana lkn utajuta mwishoni.Kabla hujaanza kufaidi jasho lao,tumia jina lipitalo majina yote,jina la Yesu kuwakataa.Yofauti na hivyo utanitafuta.
 
Ongea nao wala usiogope. Ni viumbe kama wewe.
 

jititahidi uwajue hao wa2 ni wageni wazuri tu,japo wanakuja usiku!
 

Mmh akili kumkichwa.,ukiomba ushauri JF utashauriwa ila ushauri wa nani uufanyiekazi ni inshu nyingne,.na hapa ndo utashauriwa mwaka mzima ngoja mod wa itag.
 

mmh jf kuna mambo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…