Pole sana, lakini kama tatizo linaendelea waone watu waliookoka wakufanyie maombi.wote mliotoa ushauri nashukuru sanaaa
Nenda kaombwe!
Kula pombe ndo ulale hao ni wachawi wanakuletea offer ya kuingia kwenye contract ya kuloga so Hang'over na uchawi haviendani watakupotezea.Nipo serious kaka.
Mkuu umeuliza mambo muhimu'mimi ni mwanaume wa 39yrs'mimi ni single na mara nyingi sana nalala peke yangu'wanaokuja nashindwa kujua kama ni wanaume au wanawake lakini kuna kipindi wanakuja wawili'watatu au mmoja'
Mkuu kuna wakati nawaza labda ni baadhi ya wanawake ninaokutana nao mara kwa mara'ninaamini hawatanidhuru lakini hili jambo linaninyima usingizi'ila nikilala na demu hawaji kabisa
Ajiombee kwa imani yake ipi? Hakuna imani itamsaidia delegate isipokuwa Kristo Yesu. Delegate tubu dhambi zako zote na uvae silaha zote za Mungu nilizokutajia hapo juu. Utaniambia matokeo. Wakati mwingine kuombewa sio kitu kizuri kwani ukiachana na aliyekuombea unarudi kulekule. Jiombee mwenyewe. Tafuta kitabu cha Mgisa Mtebe kinaitwa Jifunze namna ya Kuomba. Kitakusaidia sana ukifuata utakayoyasoma. Kinauzwa elfu tano tu. Usikose kusoma Waefeso 6:10 -18.
Unachohitaji ni kumpokea Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wako. Mbona hao watu ni cha mtoto kwake!! Tembelea kanisa lillilo karibu nawe waeleze na watakufanyia maombi na kukueleza ufanye nini ili uwe na silaha. Kwa kifupi tubu dhambi zako uwe safi mbele za Mungu. Pia soma Waefeso 6:10 - 18 utazijua silaha zote unazohitaji kushinda vita hivyo. Hivyo ni vita vya kiroho. Hayo unayoyaona yametokea katika ulimwengu wa kiroho. Kuyashinda unatakiwa uwe imara kiroho. Kwa kifupi okoka na uwe na hizo silaha zote utakazozisoma katika Waefeso 6:10.
naombeni msaada
usiku nikilala natembelewa na watu nisiowajua,yaani kila siku kuna watu wanakuja chumbani kwangu halafu tunakaa na kuongea,wakiondoka tu na mimi naamka mara nyingi inakuwa mida ya saa tisa usiku,nikiangalia milango yote imefungwa najaribu kuangalia kama kuna mtu pale ndani lakini hakuna kitu,naombeni msaada jamani hili jambo linanisumbua sana
Chukua chumvi ya mawe (sea salt) kidogo tu mix na maji kidooogo ili kwamba chumvi ikolee sasa, nyunyiza ndani ya nyumba yako. Matokeo yake ndo yatakufanya unitafute. Nyunyiza wakati wowote. Hizo negative energies zi-banish/ lender them powerless in Yeshua's name. Pia nenda k'koo mtaa wa Nyamwezi opposite na kituo cha magari ya mwenge (purple-belt), nunua mafuta ya mrehani (basil). yako conscetrated sana angalia usishike nguo yataacha rangi/madoa, njoo uweke kitone kimoja katika kila kona ndani ya nyumba/chumba chako wakati wowote. I always use the mighty name of Yeshua (Jesus). Kama ni watu wabaya you will never see them. Zaidi ya hapo ukipenda nitafute.
Chukua chumvi ya mawe (sea salt) kidogo tu mix na maji kidooogo ili kwamba chumvi ikolee sasa, nyunyiza ndani ya nyumba yako. Matokeo yake ndo yatakufanya unitafute. Nyunyiza wakati wowote. Hizo negative energies zi-banish/ lender them powerless in Yeshua's name. Pia nenda k'koo mtaa wa Nyamwezi opposite na kituo cha magari ya mwenge (purple-belt), nunua mafuta ya mrehani (basil). yako conscetrated sana angalia usishike nguo yataacha rangi/madoa, njoo uweke kitone kimoja katika kila kona ndani ya nyumba/chumba chako wakati wowote. I always use the mighty name of Yeshua (Jesus). Kama ni watu wabaya you will never see them. Zaidi ya hapo ukipenda nitafute.