Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Wanaume wengi tuko poor kwenye mapenzi ya simu.. Ukitaka umfaidi hamia kwake au yeye ahamie kwako...
Simu zimekuja Juzi tu..Moyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
how old a u???Ila siku akitaka mchezo huwa anakutafuta mwenyewe si ndiyo?
Nampenda sana Steve Harvey, pamoja na kuchekesha huwa kuna hyakati anatoa ushauri mzuri sana hasa kwa wadada.
Mojawapo ni: wewe ndiye utakayeamua mwanaume akutreat vipi. You set the standard.
1. Mfano mdogo kwake na mke wake...kwenye ndoa yake ya kwanza na ujanani alikuwa mhuni ila alipokuja kukutana na mkewe wa sasa, Marjorie, she purposed to make him who she wanted him to be. Alianza na kubadilisha wardrobe yake na kumfanya amtreat as a lady. Kwenye gari lazima Steve amfungulie mlango anapoingia na anapotoka. Akijifanya kusahau basi haingii wala hatoki. If a man really loves you, he will change for you as long as unachotaka afanye sio kosa la jinai au nje ya uwezo wake.
2. Kuna mbinu ya tit for tat. Usilalamike..huwa hatupendi mtu akilalamika. Ila mweleze tu, ninapenda unifanyie 1, 2, 3. Kisha mwache hapo. Asipotekeleza na wewe mnyime kile akipendacho kutoka kwako. Mfano mwingine kutoka kwa Steve Harvey na mkewe ni, Steve alikuwa careless. Akija anachukua chakula kwa fridge akimaliza anaacha kilichobaki mezani harudishii kwenye fridge wala hapeleki vyombo jikoni, tena wala hakutakiwa kuviosha. So mkewe akamweleza na siku iliyofuata walipofika chumbani, Steve anajiandaa kupata mzigo mkewe akajifunga taulo akawa anatoka. Steve akahamaki unaenda wapi. Akamjibu anaenda kutoa vyombo ambavyo yeye aliviacha. So muda ambao ungepata unachokitaka ndio muda ambao inabidi nikafanye yale uliyopaswa kuyafanya.
3. Sex. Ngono tumeifanya ni kitu kidogo sana lakini ngono ni muunganiko mkubwa. Muda mwingi wapenzi tunatumia kufanya ngono bila ya kujuana. Kama nanyi mko kundi hili, njia nyepesi sana ya kujua kama bado yupo na wewe ama la ni kumnyima ngono. Mweleze mpaka atakapoonesha upendo unaoutaka (again set the standard). Kama anakupenda kweli anabadilika na atasubiri. Kama la, usiumie akiondoka.
Mwisho mkumbushe kina Elon Musk, Phil Knight, Bill Gates na matajiri wengi walioandika biography zao wanajutia muda waliotumia kutafuta pesa wakasahau familia zao. Jiulize, hapo ni boyfriend hata si mchumba ila yuko bize kwako unadhani hata kama unampenda akija kukuoa (NAKUHAKIKISHIA HANA MPANGO WA NDOA NA WEWE..ila tuendelee kuassume) unadhani atakaa nyumbani kulea familia? Mimi binafsi nimesoma biography za Elon Musk na Phil Knight (owner wa NIKE) na wote wawili wanajutia kutotumia kuda wa kutosha na familia zao. Dalili uaziona mapema, again, set the standard unayoitaka. If he loves you he will conform.
Mdediketie Buy Me a Rose - Luther Vandross.
Wahenga walisema we are never busy...its priorities!
Kila la kheri...kimbia kabla hujawa single mother (ndiyoo unaweza kuwa single mother tena ukiwa kwenye ndoa)!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpenzi, unakusudia mume ama kipozeo?Moyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
awe mbunifu tu ,Mpe vitu vipya atakutaka tu. Tatozo lako ni kuwa mpenzi wako hakumiss. Kuwa mbunifu kwene mahusiano yenu. Atakumiss na atakutafuta kila mara hadi utauona anakusumbua
NaisubiriOK
Sipend nijulikane ila ww inabidi tu nikutumie picha tangu tu unifaham maana leo Mara ya 3 unanituhum hiki kitu..na kupm picha yangu
PointShut your mind, shut your heart.... give yourself room to grow and comprehend where you are, where you wanna be and how you are gonna get there.
Love is a beautiful journey...... Takes a clear mind to enjoy it.
Majibu mengine waweza kukata rufaa wallahiHuna chura bibie
We hapanaWw umelala na mwenzio hapo umeshikilia kifua halaf unamwambia yeye amuache wake
Pole sana bibieMoyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
Ukiona hivyo ujue kuna tatizo LA msingi, umeshaongea nae kwanza kabla ya kuleta malalamiko yako hapa? Kwa wale waliosoma physics tunajua Newton First law of Motion..tafsiri Yake hakuna kitu kinaweza kutoka sehemu moja hadi nyingine bila kuwa na msukumo wa nje! Kwa hiyo na wewe mjiangalie, haya mabadiliko yana sababu na ukizijuwa ndo itakuwa suluhu au amani yako. MNA muda gani tokea muingie kwenye hayo mapenzi?Moyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
We ni muoga sanaOK
Sipend nijulikane ila ww inabidi tu nikutumie picha tangu tu unifaham maana leo Mara ya 3 unanituhum hiki kitu..na kupm picha yangu
Pole sanaa, unamda gani kwenye hayo mahusiano? mwanzo ilikua kuwaje? mnatoka out kama wapenzi? unapokua nae anajisikia furaha kua na wewe au? ameshawahi kukukwambia kitu chochote amabacho huwezi kukisahau kizuri? mnapo kua pamoja mkichanana ana make sure umefika nyumbani au mkisha achana mpaka wewe ndio mpigie kumwambia umefika?Moyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
Ni kweli kabisa,abadilishe maamuziUnamuhitaji zaidi ya anavyokuhitaji.
Tafuta ambaye kidogo mtahitajiana japo kwa kukaribiana.
Ahamieje na hajamuoaWanaume wengi tuko poor kwenye mapenzi ya simu.. Ukitaka umfaidi hamia kwake au yeye ahamie kwako...