Nateseka jamani mimi Sijui nimekosea wapi

Nateseka jamani mimi Sijui nimekosea wapi

Moyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
Njoo kwangu hutojutia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana...

You get disappointed because you are expecting to much from him... Stop..

Ukiona wewe ndiyo unahangaika kumtafuta na siyo yeye... Jus kwamba wewe siyo kipaumbele chake.. Kuna mahali anahangaika napo...

Try to have your pride... Usijidhalilishe hivyo... Muoneshe you are human too and you have your pride... Akipoteza nawe potezea, akijirudisha mzungushe...


Cc: mahondaw
 
Nina swali dogo kwako, hali hiyo imeanza sasa au toka mlipoanza kuwa wapenzi??? Je kabla hamjagegedana alikuwa busy kama alivyo sasa au alikuwa free kwako muda mwingi???
Nijibu hayo maswali nikupe sababu haswa ya tatizo lako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekusikitikia sana...

Au una kasoro flani..kwamba unaona ni bahati ya mkenge kuwa na mtu!??

Kama hunä kwanini usisonge mbele..utajifia kabla ya siku zako mama.

Muache haraka.
 
Na

Najitahidi sana ananivunja moyo hanisapot mpaka nakata tamaa
Elewa tu hakupend au ana mtu mwingine...let it go
Usilazimishe jikaze uanze upyaa...mapenz ni two way traffic sasa ukishaona hvo usisubir kuumia zaidii
 
Umekwisha kuwaza kumuacha and still unasema unampenda jaribu kuwa serious basi

Wanaume tumetofautiana Mimi binafsi huwa sipendi kuchat wala sina matumizi makubwa ya simu hasa linapokuja suala la kuongea thank God msichana mwenzako alinielewa na tunaishi vizuri tuu mapenzi ni zaidi ya Meseji na kupigiana simu.

Kama kila text unalalamika "kwanini haunitafuti" unadhani atapata hamu ya kukutafuta hata kesho unatakiwa ufanye mabadiliko na ukubaliane na hali ya mpenzi wako

Ni hayo tuu kwa leo
 
Na

Najitahidi sana ananivunja moyo hanisapot mpaka nakata tamaa
Anafanya kazi gani? Kama ni kazi za kihandisi usimlaumu hata akimaliza siku 5 bila kukutafuta. Tatizo mabinti wa kileo mnajua kumiliki simu ni mwanzo wa kuwasiliana kila baada ya nusu saa
. Kuna kipindi mtu anakuwa busy kichwa kinachoka hawezi ku entertain mambo ya mahusiano. Mimi kuna nyakati nikiwa nje ya nyumbani kwangu namaliza siku hata 2 bila kuwauliza watoto wanaendeleaje nyumbani. Wife anapiga cm yeye nawajulia hali fasta fasta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
OK

Sipend nijulikane ila ww inabidi tu nikutumie picha tangu tu unifaham maana leo Mara ya 3 unanituhum hiki kitu..na kupm picha yangu
Mnhhhhh !! Nokia83 please... Usinisahau ktk utukufu wa bwana....
 
Jamani msimbebeshe mzigo dada wa watu mara awe mbunifu mara hana chura mara sijui nini lol. Mwanaume akishakua na option zaidi ya moja ndivyo ilivyo na mbaya zaidi option B ikawa imemkuna moyo wake hata abinuke sarakasi yy atabaki kuwa kipoozeo tuu. Na mbaya zaidi ameshajua unamzimikia best utaula wa chuya. Hivi mbona wadada wengine mnapenda kuteseka mioyo? Ukishaona dalili kama hyo sepa mapema ww kabla hajasepa yy usipate maumivu makubwa. Najua unajiuliza utampata wapi mwingine but yupo ambaye atakupenda mpk utaona tena kero hizo simu sijui msg n.k kwa sbb atakua ni wako huyo ulienae kwa sasa sio wako achana na kujistress.
 
kama unaona maisha ni magumu achana nayo...huyo kashakwambia yupo busy na wewe tafuta mambo ya kukifanya uwe busy..basi anakuona msumbufu huyo, japo kweli wapo watu wapo busy 24/7 nikiwamo mimi..ila busy ya jamaa kazidi, kama ulishampatia vitu, kausha maisha yaendelee mtoe ktk wish list
 
Jamani msimbebeshe mzigo dada wa watu mara awe mbunifu mara hana chura mara sijui nini lol. Mwanaume akishakua na option zaidi ya moja ndivyo ilivyo na mbaya zaidi option B ikawa imemkuna moyo wake hata abinuke sarakasi yy atabaki kuwa kipoozeo tuu. Na mbaya zaidi ameshajua unamzimikia best utaula wa chuya. Hivi mbona wadada wengine mnapenda kuteseka mioyo? Ukishaona dalili kama hyo sepa mapema ww kabla hajasepa yy usipate maumivu makubwa. Najua unajiuliza utampata wapi mwingine but yupo ambaye atakupenda mpk utaona tena kero hizo simu sijui msg n.k kwa sbb atakua ni wako huyo ulienae kwa sasa sio wako achana na kujistress.
Kasema chura anae tena yule mkubwa
 
Mnhh...nimepitia uzi zako za nyuma..loohh..

Sijui hata kaMa hili uloandika lina ukweli..

Una majanga kwelikweli
 
Back
Top Bottom