Nateseka jamani mimi Sijui nimekosea wapi

Nateseka jamani mimi Sijui nimekosea wapi

Saikolojia ya mwanadam haijawahi kubadilikaa,
Mwanadam huwa anathamin sana vitu ambavyo hana, na husahau kabisa vitu alivyonavyo au kwa lugha nyingine havithamin.

Tuje kwenye mada, tatzo lako kubwa, ulishampa uhakika kuwa upo pale kwa ajil yake na umeshafunga jalada la uchaguz katika mapenz, hiko kitu kina faida na hasara zake.

moja ya hasara ya jambo hilo, ni kwamba mwanaume anakuwa anachukulia tayari ameshakuteka, kwahyo haoni sababu ya kuhangaika kuku impress, unakuta anahangaika na wanawake wengine ambao hta umewazid uzur na kila kitu.

Chakufanya, husionyeshe kama umefiiika kwake, yan anza ku act expensive, sio kila mda anaokuhitaj we unapatikana, sio kila akipiga sim we unapokea... unaipotezea sim hlf baaadae ndo unamchek, na samahan kibao, ukiwa unachat nae, we ndo uwe wakwanza kuaga...

Fanya hayo aisee.... na mahusiano yako yatazaliwa upya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
Embu kesho njoo kimbiji huku tuwaulize wazee nini tatizo usilie tumekufikia wazee watamleta karibu na wewe badala ya msg atakua anaamka na kulala kuoga na kula na wewe njoo tumshtakie kwa wazee hapa Jf ni ushauri tu ya maneno watakupa karibu mjukulu wangu mayimasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila siku akitaka mchezo huwa anakutafuta mwenyewe si ndiyo?

Nampenda sana Steve Harvey, pamoja na kuchekesha huwa kuna hyakati anatoa ushauri mzuri sana hasa kwa wadada.

Mojawapo ni: wewe ndiye utakayeamua mwanaume akutreat vipi. You set the standard.

1. Mfano mdogo kwake na mke wake...kwenye ndoa yake ya kwanza na ujanani alikuwa mhuni ila alipokuja kukutana na mkewe wa sasa, Marjorie, she purposed to make him who she wanted him to be. Alianza na kubadilisha wardrobe yake na kumfanya amtreat as a lady. Kwenye gari lazima Steve amfungulie mlango anapoingia na anapotoka. Akijifanya kusahau basi haingii wala hatoki. If a man really loves you, he will change for you as long as unachotaka afanye sio kosa la jinai au nje ya uwezo wake.

2. Kuna mbinu ya tit for tat. Usilalamike..huwa hatupendi mtu akilalamika. Ila mweleze tu, ninapenda unifanyie 1, 2, 3. Kisha mwache hapo. Asipotekeleza na wewe mnyime kile akipendacho kutoka kwako. Mfano mwingine kutoka kwa Steve Harvey na mkewe ni, Steve alikuwa careless. Akija anachukua chakula kwa fridge akimaliza anaacha kilichobaki mezani harudishii kwenye fridge wala hapeleki vyombo jikoni, tena wala hakutakiwa kuviosha. So mkewe akamweleza na siku iliyofuata walipofika chumbani, Steve anajiandaa kupata mzigo mkewe akajifunga taulo akawa anatoka. Steve akahamaki unaenda wapi. Akamjibu anaenda kutoa vyombo ambavyo yeye aliviacha. So muda ambao ungepata unachokitaka ndio muda ambao inabidi nikafanye yale uliyopaswa kuyafanya.

3. Sex. Ngono tumeifanya ni kitu kidogo sana lakini ngono ni muunganiko mkubwa. Muda mwingi wapenzi tunatumia kufanya ngono bila ya kujuana. Kama nanyi mko kundi hili, njia nyepesi sana ya kujua kama bado yupo na wewe ama la ni kumnyima ngono. Mweleze mpaka atakapoonesha upendo unaoutaka (again set the standard). Kama anakupenda kweli anabadilika na atasubiri. Kama la, usiumie akiondoka.

Mwisho mkumbushe kina Elon Musk, Phil Knight, Bill Gates na matajiri wengi walioandika biography zao wanajutia muda waliotumia kutafuta pesa wakasahau familia zao. Jiulize, hapo ni boyfriend hata si mchumba ila yuko bize kwako unadhani hata kama unampenda akija kukuoa (NAKUHAKIKISHIA HANA MPANGO WA NDOA NA WEWE..ila tuendelee kuassume) unadhani atakaa nyumbani kulea familia? Mimi binafsi nimesoma biography za Elon Musk na Phil Knight (owner wa NIKE) na wote wawili wanajutia kutotumia kuda wa kutosha na familia zao. Dalili uaziona mapema, again, set the standard unayoitaka. If he loves you he will conform.

Mdediketie Buy Me a Rose - Luther Vandross.

Wahenga walisema we are never busy...its priorities!

Kila la kheri...kimbia kabla hujawa single mother (ndiyoo unaweza kuwa single mother tena ukiwa kwenye ndoa)!

Sent using Jamii Forums mobile app
Bonge moja la ushauri

Ushauri wa karne huu aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
OK
Ungekuwa na bunyanga angekuwa analiwaza asbh akiamka na mchana kabla hajala anakuuliza baby umekula


Leo umevaa ile kufuli nayopendaga...achia bodi hili maimatha
Sipend nijulikane ila ww inabidi tu nikutumie picha tangu tu unifaham maana leo Mara ya 3 unanituhum hiki kitu..na kupm picha yangu
 
Nawe kama kimya. Kama kweli anakupenda atakutafuta hadi kwako kuja kuuliza KULIKONI. Ukiona kimya kirefu ujue hana mapenzi nawe.

Moyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
 
Moyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
Ulimfungulia kufuli (kama mnatumia siku hizi) kabla ya ndoa. Uliyataka mwenyewe.
 
Kesi yako inafanana na Dada mmoja ambae nimewahi msaidia kwa ushauri (binadamu sie wazuri kushauri ila kwetu nyumba inaungua moto)
Naye alikua hivyo mpaka atafutwe yeye na mbaya bora wewe anakujibu yeye alikua message 5 inajibiwa 1 na ndio siku imeisha but nilipomshauri hivi
Wiki 2 za mwanzo onesha ukaribu mpigie simu, asubuhi mchana na usiku kama dozi tuma message tu usichoke hata akipiga kimya. Muoneshe hujaumia yeye kukaa kimya... Ila sasa siku 14 (2 weeks) zikiisha tu
Mpotezee tena ikiwezekana futa namba yake ili isikuwashe kuitafuta, futa messages zote then usijaribu hata kumtafuta au kumuulizia for 2 weeks.. Kwa kua alizoea messages akiamka na hadi anaingia kitandani basi kama anakupenda ataona gape katika maisha yake.
Hata akianza kikutafuta usiwe cheap, kua genuine na onesha una dhamani pia potezea simu kabisa hadi aje face to face...usioneshe we ndo unamuhitaji saaana, onesha kua you can survive without his presence in your life, akijishusha atakua amejua makosa yake ila vice versa basi jifunge mkanda hapo hakuna future
Bora uukubali ukweli mapema kuliko kuishi kwa uongo utakaoweza kukuua siku za usoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo tunaita ni Penzi la upande mmoja.

Ukweli ni kwamba yeye hana Mapenzi na wewe
 
Sio watu wote wapenda mapenzi kama ya bluetooth connection kila muda mtu simu, txt utake, calls utake, mtachokana haraka, hizo kero za kila muda simu simu simu mi mwenyewe havipandi. Pole lakini
 
Hapo kuna mambo mawili makubwa . 1 kunamtu mwingine anaemuweka bize nae anahangaika huko kutuma SMS na ku care. 2. Hizo ni dalili Za kukupotezea maana akiona SMS zako anaweza kuwaambia hata washkaji zake kua aaah!huyu dem msumbufu sana! Kuwa makini tu jipe muda wakumchunguza pale mnapokua pamoja utagundua jambo.
 
Kesi yako inafanana na Dada mmoja ambae nimewahi msaidia kwa ushauri (binadamu sie wazuri kushauri ila kwetu nyumba inaungua moto)
Naye alikua hivyo mpaka atafutwe yeye na mbaya bora wewe anakujibu yeye alikua message 5 inajibiwa 1 na ndio siku imeisha but nilipomshauri hivi
Wiki 2 za mwanzo onesha ukaribu mpigie simu, asubuhi mchana na usiku kama dozi tuma message tu usichoke hata akipiga kimya. Muoneshe hujaumia yeye kukaa kimya... Ila sasa siku 14 (2 weeks) zikiisha tu
Mpotezee tena ikiwezekana futa namba yake ili isikuwashe kuitafuta, futa messages zote then usijaribu hata kumtafuta au kumuulizia for 2 weeks.. Kwa kua alizoea messages akiamka na hadi anaingia kitandani basi kama anakupenda ataona gape katika maisha yake.
Hata akianza kikutafuta usiwe cheap, kua genuine na onesha una dhamani pia potezea simu kabisa hadi aje face to face...usioneshe we ndo unamuhitaji saaana, onesha kua you can survive without his presence in your life, akijishusha atakua amejua makosa yake ila vice versa basi jifunge mkanda hapo hakuna future
Bora uukubali ukweli mapema kuliko kuishi kwa uongo utakaoweza kukuua siku za usoni

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri murua huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
Tatzo una mapenzi ya secondary
 
Mtu Wa namna hiyo dawa yake kidogo tu. Embu kuanzia kesho kama asipokutumia sms na wewe jifanye kama umejisahau, I mean piga kimya mpaka usiku uangalia itakuwaje. Na endapo kama hata tuma mkaushie tena kwa siku inayofuata kama una moyo wa chuma lakini... asipokutumia sms kwa hizo siku mbili PAMBANA NA HALI YAKO MKUU.
Shida inakuja pale unaposubiria simu huku roho inauma.... Ni ugonjwa huo. Cha kufanya ni kuachana na mtu kama huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom