Natengeneza windows 8 kwa bei nafuu sana

Natengeneza windows 8 kwa bei nafuu sana

mwizi mwizi mwizi, umedownload bure halafu unataka kuuzia watu 50,000? kwanza hata unavyoelezea unaonekana kabisa huna utaalamu wowote. Tumia huu muda kujifunza mambo ya mbele zaidi uongeze ujuzi na sio unaanza utapeli mapema hii. Kwanza sijakuelewa,unasema unatengeneza windows 8 kwani imeharibika au unatengeneza from scratch ya kwako mwenyewe(utakuwa wa pili duniani)?
Labda nikupe tu idea kama una muda wa ziada jaribu kutengeneza software za kutumika kwenye hiyo windows 8 tumuuzie Microsoft unaweza kutoka na kupeperusha bendera ya Tanzania kuliko kuja kuwaibia masikini wenzako, na next time kapost kwenye magroup yenu facebook sio hapa kwa great thinkers.
 
Nimeingia kwenye huu uzi kutaka kumjua anayetengeneza Windows 8 ila kumbe ni installation ndo unaita kutengeneza!!??

Kuna kitu unaweza hisi kwako ni kipya ila kwa wenzako kikawa cha zamani mno na ndio kilichokukuta
 
Natengeneza windows 8 kwa bei nafuu sana sana nakukupa cd ya window8 2014 septembar na pin zake yoyote anae hitaji
Mkuu unamaanisha kufanya installation ya windows au? kama ni hiyo hata mtoto Wangu ana 9yrs anaweza hiyo kazi, nitafute nikuunganishe naye akupe ujuzi zaidi
 
Mkuu unamaanisha kufanya installation ya windows au? kama ni hiyo hata mtoto Wangu ana 9yrs anaweza hiyo kazi, nitafute nikuunganishe naye akupe ujuzi zaidi
we unachekesha sana uyo mtoto wako kama anafanya windows bc itakuwa xp nawewe umezidi sana unajua windows7 mimi najua windows 8 nauyo mwanao hata wewe hata utambie uwezi kupiga windows8
 
Acheni dharau KRAPKA DAVINOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!

sasa dharau wapi? im trying to support a brother. pc zangu hazijawahi FANYIWA windows. nataka nijue wanafanyaje.
 
Teh teh teh.. Siamini ninachokisoma hapa. C6 unaulizwa specifics . Mtajie usaidiwe

anataka kunifanyia windows xp. mwambieni siku izi hazina security updates. sasa si ntapata shida kwenye kompyuta yangu
 
Last edited by a moderator:
Natengeneza windows 8 kwa bei nafuu sana sana nakukupa cd ya window8 2014 septembar na pin zake yoyote anae hitaji

mkuu, lengo la jukwaa hili ni kupeana taarifa za teknolojia mpya, gajeti mpya, kuelekeza mbinu mbalimbali za kutumia vifaa au software effectively bure kabisa. Wadau wa jukwaa hili ni wakarimu ni wenye kujitolea sana.

kama lengo lako lilikuwa ni kutoa huduma au kuuza huduma yako basi unge andika uzi wako jukwaa la matangazo madogo...

kuhusu ku install windows karibu kila member wa jukwaa hili anajua kuinstall maana tunaelekezana bure bila malipo yoyote...

nakushauri uwe unapitia hili jukwaa kujifunza mengi... nisamehe nilikuwa nakutania kidogo. nahisi we ni mgeni jukwaani ndio maana ulishindwa kujua kama nakutania....

usiwawekee watu windows xp. ishapitwa na wakati. microsoft wameacha kuisapoti.
 
Mkuu unafanya windows server installation? Kuna jamaa wanafungua ofisi naweza kukupa mchongo wanahitaji Windows server 2012 r2 kwa mashine 6 na uwafanyie virtualization. Nipe quotation ya licenses/labour. Wewe ni Microsoft authorized reseller/partner ?:glasses-nerdy:
 
mkuu, lengo la jukwaa hili ni kupeana taarifa za teknolojia mpya, gajeti mpya, kuelekeza mbinu mbalimbali za kutumia vifaa au software effectively bure kabisa. Wadau wa jukwaa hili ni wakarimu ni wenye kujitolea sana.

kama lengo lako lilikuwa ni kutoa huduma au kuuza huduma yako basi unge andika uzi wako jukwaa la matangazo madogo...

kuhusu ku install windows karibu kila member wa jukwaa hili anajua kuinstall maana tunaelekezana bure bila malipo yoyote...

nakushauri uwe unapitia hili jukwaa kujifunza mengi... nisamehe nilikuwa nakutania kidogo. nahisi we ni mgeni jukwaani ndio maana ulishindwa kujua kama nakutania....

usiwawekee watu windows xp. ishapitwa na wakati. microsoft wameacha kuisapoti.
wala usijari najua ulikuwa unanitania tu ila kuhusu xp inategemea na kompyuta yake ili yo kama uwezo wake mdogo katika random access unit au control poccesing unit hata kwenye mass storage hd nitaweza vp kumwekea windows7 itabidi atumie iyo iyo xp anaweza kufanya vitu kama typing ,priting, et c
 
Mkuu unafanya windows server installation? Kuna jamaa wanafungua ofisi naweza kukupa mchongo wanahitaji Windows server 2012 r2 kwa mashine 6 na uwafanyie virtualization. Nipe quotation ya licenses/labour. Wewe ni Microsoft authorized reseller/partner ?:glasses-nerdy:
ahaaaa we mkali mimi mkuu nafanya kazi zangu kitaa tu sitaki mtu aniajiri na nawapigia watu kwa bei powa sana sana na wala sio partner wa micro soft mkuu nisine kufungwa si unamjua bill gates kwenye biashara zake ataki mchezo kabisa ndio maana kila mwaka tajiri yeye tu
 
mwizi mwizi mwizi, umedownload bure halafu unataka kuuzia watu 50,000? kwanza hata unavyoelezea unaonekana kabisa huna utaalamu wowote. Tumia huu muda kujifunza mambo ya mbele zaidi uongeze ujuzi na sio unaanza utapeli mapema hii. Kwanza sijakuelewa,unasema unatengeneza windows 8 kwani imeharibika au unatengeneza from scratch ya kwako mwenyewe(utakuwa wa pili duniani)?
Labda nikupe tu idea kama una muda wa ziada jaribu kutengeneza software za kutumika kwenye hiyo windows 8 tumuuzie Microsoft unaweza kutoka na kupeperusha bendera ya Tanzania kuliko kuja kuwaibia masikini wenzako, na next time kapost kwenye magroup yenu facebook sio hapa kwa great thinkers.
jamani nimechoka na maswali nimesema nafanya istall ya windows 8 sitengenezi windows8 kwanza utaweza wapiiii
 
ahaaaa we mkali mimi mkuu nafanya kazi zangu kitaa tu sitaki mtu aniajiri na nawapigia watu kwa bei powa sana sana na wala sio partner wa micro soft mkuu nisine kufungwa si unamjua bill gates kwenye biashara zake ataki mchezo kabisa ndio maana kila mwaka tajiri yeye tu

hujaelewa swali amekwambia hivi unaweza kufanya iyo windo serve insallation?

kama unaweza akupe dili la kufanya kwa pc hizo sita .

ila akakuuliza jee Wewe ni Microsoft authorized
reseller/partner ? cuz kuuza hizo copy za windo kama siyo microsoft authorized reseller/partiner ni ilegal work.

sasa basi nimeamini umeshindwa kuelewa swali dogo tu katika kimombo. na installation ya windows ni full kimombo. hivyo unanithibitishia kuwa unafanya installation kwa kukariri kama ulivyokaririshwa ndo maana unaona ni kazi ngumu sana.
 
hujaelewa swali amekwambia hivi unaweza kufanya iyo windo serve insallation?

kama unaweza akupe dili la kufanya kwa pc hizo sita .

ila akakuuliza jee Wewe ni Microsoft authorized
reseller/partner ? cuz kuuza hizo copy za windo kama siyo microsoft authorized reseller/partiner ni ilegal work.

sasa basi nimeamini umeshindwa kuelewa swali dogo tu katika kimombo. na installation ya windows ni full kimombo. hivyo unanithibitishia kuwa unafanya installation kwa kukariri kama ulivyokaririshwa ndo maana unaona ni kazi ngumu sana.
mimi nilijifunza nilipokuwa haiti mwaka jana kule nchi masikini sana ila wamekuwa na elimu sana sana watoto wadogo sana wanafanya hay mambo ,mimi nina uwakika wewe nikikupa utoweza kuingiza iyo windows8 na ikakaa hata wiki moja tu bila mashine kuwa nzito
 
ok sasa itakuwa wapi mkuu mbona hata katika jukwaa la biashara aipo mkuu

ilibidi uweke kule kwenye matangazo madogo madogo au habari mchanganyiko. kwa hap ungewka step za kufanya hiyo windo . nachomaanisha ni kuwa yangazo lako kwa hapa lisiwe kibiashara.


akifuta anaguta na sio anahamisha so kama ulipost ukaona hamna maana yake limegutwaaaaaaaaa
 
mimi nilijifunza nilipokuwa haiti mwaka jana kule nchi masikini sana ila wamekuwa na elimu sana sana watoto wadogo sana wanafanya hay mambo ,mimi nina uwakika wewe nikikupa utoweza kuingiza iyo windows8 na ikakaa hata wiki moja tu bila mashine kuwa nzito

sasa una bishana na mimi nisha kwambia pc ya ngu inamiezi saba tangu niweke hiyo windows na pc za masela nilizoweka zipo zinapiga mzigo fresh up to now so namaanisha ninachoongea kuwa pc ni single crick na ni second respond
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom