Natengeneza windows 8 kwa bei nafuu sana

Natengeneza windows 8 kwa bei nafuu sana

Huyu mleta uzi huu hanala msingi alilolileta hapa ..nimereview coment zake...ni kama mtu ambaye analeta jokes......hayuko serious na anachokifanya....hapa..
 
Huyu mleta uzi huu hanala msingi alilolileta hapa ..nimereview coment zake...ni kama mtu ambaye analeta jokes......hayuko serious na anachokifanya....hapa..

kimsingi hana hoja anayoitetea hapa
 
wala usijari najua ulikuwa unanitania tu ila kuhusu xp inategemea na kompyuta yake ili yo kama uwezo wake mdogo katika random access unit au control poccesing unit hata kwenye mass storage hd nitaweza vp kumwekea windows7 itabidi atumie iyo iyo xp anaweza kufanya vitu kama typing ,priting, et c

hivi ata umeelewa alichokiandika jamaa.kwa huu mtindo inaonyesha hii kuweka("kutengeneza") windows umejua sasa hivi na hujui nini kinachoendelea.uwe unatembelea hili jukwaa utajifunza mengi sana na utajua vingi zaidi ya hiyo "kutengeneza" window8. :angry:
 
hujaelewa swali amekwambia hivi unaweza kufanya iyo windo serve insallation?

kama unaweza akupe dili la kufanya kwa pc hizo sita .

ila akakuuliza jee Wewe ni Microsoft authorized
reseller/partner ? cuz kuuza hizo copy za windo kama siyo microsoft authorized reseller/partiner ni ilegal work.

sasa basi nimeamini umeshindwa kuelewa swali dogo tu katika kimombo. na installation ya windows ni full kimombo. hivyo unanithibitishia kuwa unafanya installation kwa kukariri kama ulivyokaririshwa ndo maana unaona ni kazi ngumu sana.
pa mzee nipe iyo kazi mimi namba zangu ni 0652 474748
 
ahaaaa we mkali mimi mkuu nafanya kazi zangu kitaa tu sitaki mtu aniajiri na nawapigia watu kwa bei powa sana sana na wala sio partner wa micro soft mkuu nisine kufungwa si unamjua bill gates kwenye biashara zake ataki mchezo kabisa ndio maana kila mwaka tajiri yeye tu

wala usijari najua ulikuwa unanitania tu ila kuhusu xp inategemea na kompyuta yake ili yo kama uwezo wake mdogo katika random access unit au control poccesing unit hata kwenye mass storage hd nitaweza vp kumwekea windows7 itabidi atumie iyo iyo xp anaweza kufanya vitu kama typing ,priting, et c

mimi nilijifunza nilipokuwa haiti mwaka jana kule nchi masikini sana ila wamekuwa na elimu sana sana watoto wadogo sana wanafanya hay mambo ,mimi nina uwakika wewe nikikupa utoweza kuingiza iyo windows8 na ikakaa hata wiki moja tu bila mashine kuwa nzito

Kabla ya kujifunza Computer ungejifunza Kiswahili na kiingereza kwanza angalau ujue namna ya kuwasiliana na wateja wako;

nisine= nisije
micro soft= Microsoft
bill gates= Bill Gates
usijari= usijali
poccesing= processing
priting= printing
haiti= Haiti
uwakika= uhakika
utoweza= hutoweza
hay= haya
 
Kabla ya kujifunza Computer ungejifunza Kiswahili na kiingereza kwanza angalau ujue namna ya kuwasiliana na wateja wako;

nisine= nisije
micro soft= Microsoft
bill gates= Bill Gates
usijari= usijali
poccesing= processing
priting= printing
haiti= Haiti
uwakika= uhakika
utoweza= hutoweza
hay= haya
mteja anajari mazi zaidi lugha aina maana kwake ili mradi umtukani tu
 
pa mzee nipe iyo kazi mimi namba zangu ni 0652 474748

soma vizuri comment yangu utagundua mm nilikuwa nakukosoa na sio mm ndo mwenye hiyo kazi. haupo makini na kusoma coments

soma cimments za nyuma kidogo utamkuta huyo mtu wa kukupa hiyo dili.
 
soma vizuri comment yangu utagundua mm nilikuwa nakukosoa na sio mm ndo mwenye hiyo kazi. haupo makini na kusoma coments

soma cimments za nyuma kidogo utamkuta huyo mtu wa kukupa hiyo dili.
ok safi sana mambo ndio kama hayo kueleweshana na sio matusi ila mzee nipo makini sana na coment
 
mkuu uko wapi? nataka unifanyie windows. unafanyia sh.ngapi?
kwani umekuwa mzito hivi au umepoteza kumbukumbu au windows ipi iyo unayotaka au windows ya kufunga window
 
we unachekesha sana uyo mtoto wako kama anafanya windows bc itakuwa xp nawewe umezidi sana unajua windows7 mimi najua windows 8 nauyo mwanao hata wewe hata utambie uwezi kupiga windows8

duh inafurahisha sana
 
ama kweli hawa ma graduate wakihitimu chuo wanafikiri kila mtu ni mbulula...
hapana mkuu katika hali ya kuelekezana ila mtu ukubali kama ujui ,kibaya zaidi ujui alafu mbishi hii inaleta ugojwa wa ubumbula, kwani dalili za ugojwa wa ubumbula ni ubishi
 
teh! Teh! Kwi! Kwi! Mzee wa shamba vp shamba lako aliuzwi naona lina mazao ila kama umelitelekeza vile nipe mimi bc

hahahaha, mwizi akitaka kuvuna anavunaga kimyakimya usimshke mkono mwenye shamba, we zama kimyakimya unavuna mwenye shamba anakuja kushtukia watu washavuna...teh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom