Natengeneza ndege na FM transmitter

Natengeneza ndege na FM transmitter

mkuu kamilisha hiiyo project kwanza,ukimaliza mtafute kikeke katika kpind cha dira ya dunia kinachorushwa usiku kwenye tv ukionekana hapo bas umeula weka utafit wako mbal na tbccm kwan wan'goa kucha wengi wanaitazama hiyo chanel.
 
Tengeneza kitu kipya, wewe ni mtafiti, huwezi kusema unataka kutengeneza ndege, ndege imeshatengenezwa, unless ya kwako itakuwa inachoma alcohol badala ya expensive hydrocarbons zinazotumika sasa.

Tengeneza automatic machine ya kupikia ugali ambayo haihitaji kulowekwa usiku kucha uli kutumika tena.
 
Kijana endelea wazee tupo.
Nakushauri:
Lazma ujiamini kwa kuwa wewe ndiye aliye na the right vision ya unachotaka kutengeneza.
Lijue vizuri wazo lako.
Ili uwe na uhakiki wake iweke/chora kwenye karatasi vizuri na hapo walio na ufahamu wa unachokifanya watashauri.
Usikatishwe tamaa na yeyote kwa kuwa baada yako, hakuna aliye na mawazo yako.
MUNGU akusaidie.
 
ni rahisi sana kutengeneza,labda ungesema unatumia nini kutengeneza ili tuone upekee ktk ubunifu wako.Nenda DIT na St.joseph college,veta utakuta wanatengeneza sana tu.Ushauri wangu,kwakua serikali kupitia COSTECH haina nia ya dhati ktk innovation mkuu utakwama.wewe soma then ingia jeshini kama profesional ufanye maisha.
 
Niko UDOM mwaka wa kwanza,nachukua degree ya fizikia,ninapenda mambo ya utafiti na ugunduzi wa sayansi.
Kwa sasa nina mpango wa kutengeneza ndege itakayoweza kupaa,na pia nimewahi kutengeneza FM transmitter na ikafanya kazi umbali wa mita 200 nusu kipenyo.
Nipeni ushauri watanzani wenzangu maana nina malengo na projects nyingi za kisayansi.

Uwe na mawasiliano na tume ya sayansi na teknolojia halafu ushauriane na chuo kiwe kinashiriki maonyesho kama ya biashara,saba saba n.k ambako utakuwa kwenye banda kuonyesha huo ugunduzi wako kuna watu wakiona waweza pata wa kukusaidia kama hizo projects zitaonyesha kuwa viable.
 
Niko UDOM mwaka wa kwanza,nachukua degree ya fizikia,ninapenda mambo ya utafiti na ugunduzi wa sayansi.
Kwa sasa nina mpango wa kutengeneza ndege itakayoweza kupaa,na pia nimewahi kutengeneza FM transmitter na ikafanya kazi umbali wa mita 200 nusu kipenyo.
Nipeni ushauri watanzani wenzangu maana nina malengo na projects nyingi za kisayansi.
Hapo kwenye bold unatakiwa uwe mkali sana kwenye aeronautics kitu ambacho sidhani unacho.Soma soma zaidi ili kwenye mwaka wa tatu ufikirie mambo ya ndege.
Pamoja na yote, mwombe Cookie ahamishie hii thread jukwaa la sayansi ambamo utapanuliwa mawazo zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Dr. Apolo The Great,
Sikukatishi tamaa ila kwa kiwango cha elimu ulichonacho bado unahitaji kujifunza kanuni, sheria na misingi mbambali ya sayansi ili ufike huko unakoota. Angalau ukimaliza u/graduate unaweza ukaona ukweli wa ndoto zako. Baada ya hapo jispecialize kwenye kitu kimoja tu kama unataka kweli kuwepo katika kundi la watatua matatizo ya jamii. Jifunze kujua wengine waliishia wapi ili nawe uanzie hapo bila ya hivyo utakuwa nyuma sana. BTW sijajua kama unatengeneza au unaunda maana hizo transmita wamachinga wanauza hadi 1,500 unapata. Anyway ukifika mwaka wa 3 mwishoni ni pm nikupe njia
 
Kijana endelea wazee tupo.
Nakushauri:
Lazma ujiamini kwa kuwa wewe ndiye aliye na the right vision ya unachotaka kutengeneza.
Lijue vizuri wazo lako.
Ili uwe na uhakiki wake iweke/chora kwenye karatasi vizuri na hapo walio na ufahamu wa unachokifanya watashauri.
Usikatishwe tamaa na yeyote kwa kuwa baada yako, hakuna aliye na mawazo yako.
MUNGU akusaidie.
Mkuu hatumkatishi tamaa tunajaribu kumpa namna bora ya kufikiri. Kubuni na kuunda kitu kumerahisishwa sana siku hizi, unaweza ukaunda ndege na ukairusha Dar - Mwanza kwa kutumia program za kompyuta tu. Hivyo ana mengi ya kujifunza ili kazi yake iwe rahisi
 
songa mbele ndugu yangu pambana mpaka kieleweke soma sana kisha tafuta mpenyo wa kutoka uende ulaya hapa watakusekwa lupango bure wewe jittutumue hapa uone cha mtema kuni
 
Niko UDOM mwaka wa kwanza,nachukua degree ya fizikia,ninapenda mambo ya utafiti na ugunduzi wa sayansi.
Kwa sasa nina mpango wa kutengeneza ndege itakayoweza kupaa,na pia nimewahi kutengeneza FM transmitter na ikafanya kazi umbali wa mita 200 nusu kipenyo.
Nipeni ushauri watanzani wenzangu maana nina malengo na projects nyingi za kisayansi.

Ukitengeneza ndege naamini itapaa ila haita tua ndo tutakupoteza mazima....... Kama unajipenda acha kabisa.
 
Niko UDOM mwaka wa kwanza,nachukua degree ya fizikia,ninapenda mambo ya utafiti na ugunduzi wa sayansi.
Kwa sasa nina mpango wa kutengeneza ndege itakayoweza kupaa,na pia nimewahi kutengeneza FM transmitter na ikafanya kazi umbali wa mita 200 nusu kipenyo.
Nipeni ushauri watanzani wenzangu maana nina malengo na projects nyingi za kisayansi.

Weka video tujadili wakati tunaona kilichopo
 
Ndege na transmita zilishagunduliwa kale. Tafuta kitu cha awali ugundue.
 
Usiogope kupotezwa...ni idea na uwezo kama wako ndio unaofanya nchi zipate heshima na maendeleo makubwa....ushauri wangu ni kutuliza kichwa endeleza ubunifu huohuo na jitahidi kuomba sponsorship na funding kwa watu waliowekeza kwenye technologia kama rostam aziz na ngowi....na pia ni vizuri kutengeneza blueprint na ku patent utakachotengeneza ili usidhulumiwe na mabilionea wetu na kulinda kazi yako hata baada ya wewe kuondoka
 
'Yawezekana neno jema likatoka Samaria'? Siamini kichwa kama wewe umeishiaje UDOM? Kwa nini hukupata nafasi UD? Nione nikuhamishie UD haraka iwezekanavyo!
 
Back
Top Bottom