Natembea na mume wa mtu

Tuko wanaume sita mke wangu kipenzi.
Lakin. Naamin katika hao sita, ni mimi tu ndio unanikubali jinsi navokusuaga hicho kisimi.
Wanaume sita wanakukula tako. Una uzoefu kama Elton John. Ila najua iko siku utaacha
 
adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie. Vijana tuko wengi mjini na kazi zetu ila hatuonekani, loh!
Nawewe usipende mteremko.
Kwani umezuiwa kutongoza huko mjini ulipo?

Binti anasumbuliwa na first love, sasa kwa vile kashampa asali first boy friend wake, sasa kajitambua aachane na jamaa asubirie mume wake wa ndoa.

Kama kulainisha joint basi aruke na single boys wengine si mume wa mtu.
 
Naona unachangamkia fursa sio?
Unatelezea na ganda la ndizi mteremkoni.
Safi lakini kuliko kufa mpweke.
 
Unasema huyo mke wa bfriend wako.kaingia anga zako, kivipi kaingia anga zako, nyi mlipotezana hajamuiba kwako, fanya maamuzi magumu vunja uhusiano huo, kwanza unapotezewa mda tu pili wajitia mikosi tu kutembea na mme wa mtu tatu wajinyima nafasi ya kupata mchumba wako aje kuwa mume wako na nne unaelekea kuvunja hiyo ndoa, kuwa na msimamo vua mahusiano hayo kwa nguvu zako zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cku ukaja olewa na mumewako kabisakabisa..na mumeo akakufanyia hivyo ndo utajua uchungu wa kuibiwa mume.
 
Jitahidi muachane,umri wako unaenda na utaishia kuwa single mama,
Kama wa kuolewa nae ulikosa shuleni,jaribu kazini,kama umekosa kazini jaribu kanisani ,kama umekosa huko jaribu kwenye charity organisation ambazo zina event nyingi nyingi za kusaidia jamii ambapo mkijumuika kwa malengo ya jamii mnaonana na watu wengi ni vijana,usiwe kauzu sana,
 
Atakayekuoa ana kazi ya ziada. Maana bila shaka utachepuka na hao boyfriend zako wa zamani. Una umri wa miaka 27, uko kwenye critical age kwa mwanamke. Huyo mme wa mtu utakiwa nae ila kuna umri ukifika, utajuta. Upatikanaji wa mme huwa ni changamoto kwa mwanamke. Usipoteze muda na huyo jamaa, fanya maamuzi magumu sasa na kama anakupenda mwambie akusaidie kukuacha maana yeye ana mke tayari. Ebu siku muulize, WEWE UMESHAOA, MIMI SIJAOLEWA BADO, NATAKA NIMI NIJE NIWE NA MME WANGU PEKEE, unaichukuliaje hali yangu? Wewe uko ndoani, mimi HUNIPOTEZEI MUDA?
Kisha sikilizia jibu lake.

Ila pia boyfriend wako wa pili NI JEMBE, ameiona picha hii ya wewe na boyfriend wako wa kwanza akaona hapa atachapiwa tu mke wake.

Kikubwa muombe Mungu.
 
Hii theory yako balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo mbona kichwa hako hakijaanza kuumia! Kitaumia zaidi baada ya kupata mimba n.a. either jamaa haitaki n.a. wewe hutaki kuwa single mom.
Hebu fanya hivi, achana n.a. mme wa mtu. Ni afadhali hata ukaja kwangu ambaye sijaoa au tulia upate mwanaume ambaye hajaoa maana tupo wengi sana tu.
 
Akija kwako siku akichelewa usiku ujue yuko kwa mpenzi wake wa kwanza na unapofanya nae mapenzi ujue anamfikiria mpenzi wake wa zamani.
 
Siku mpenzi wako akigundua atakuacha na huyo mume wa mtu hatakuoa kubali yaishe!!!
 
Hakuna tatizo lolote hapo. Angalia tu mke wake asijue. Akijua itakuwa ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…