yani unataka kuzaa na mke wa kaka yangu. jaribu! omba msamaha kabla ya saa moja kamili kesho. ucpofanya hivyo chagua adhabu kati ya zifuatazo. kushushwa shipa, kupotelewa kabisa na izo zinazokupa kiburi, kufanywa uwe na tamaa ya kukameruniwa, kukameruniwa, kufanywa uwe unatamani kuvaa nguo za kike, kutembea uchi.
yani unataka kuzaa na mke wa kaka yangu. jaribu! omba msamaha kabla ya saa moja kamili kesho. ucpofanya hivyo chagua adhabu kati ya zifuatazo. kushushwa shipa, kupotelewa kabisa na izo zinazokupa kiburi, kufanywa uwe na tamaa ya kukameruniwa, kukameruniwa, kufanywa uwe unatamani kuvaa nguo za kike, kutembea uchi.
asante, ni aibu kubwa kwa kijana aliyemaliza la saba kuwa nyoka wa maonesho.[/QUOT
Kumbe kongosho muhuni mweeee!!!
Nilikuwa sijui kama hujui kuwa amebabuka ati.Endereaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kwahiyo unatueleza ili iweje?
Grow up.
nimeshindwa kuvumilia Vituko na MAJINA NAYOPEWA
kama NYOKA WA KIBISA,Sasa NAFANYA KWELI.....
NIKITOTOA NAE TU NAWEKA PICHA.
huyo wife wa jamaa si mchezo leo mudda si mmrefu amekja kuazima Charger YA pini ndogo yupo na KANGA MOJA.nabeba lawama
Is this a great thinkers' ideology?! mmmmh! i doubt it! will always do! nakupenda JF!
Baada ya posti 462 JF, Zubeda leo kajisahau kuwa yeye huwa anachezaga tamthilia humu kuwa ye ni jike, kumbe we ni dume bana aaaagh! au umem quote mtu? Haya jitetee
Usitudanganye!!!! huyo ni mzinzi mwenzio...Iweje uanze na plan ya kuzaa from no where. Inaashiria ulishaanza zamani sasa unajaribu tu kutuonesha kwamba huyo mama ndo anakushobokea....Jipange upya ila ujue za mwizi ni 40!!! Haya!
Kama ana miwaya shauri yako. Suppose aje mzee jirani aseme kuwa alizaa na mama yako wakati ukijua kuwa baba yako ni huyo unayemwita baba? Ni kama unajisifia upumbavu. Suppose mwenye mali akakugundua na kuamua kukupiga tigo? Think twice maana ukioa lazima utalipwa tu.