zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
- Thread starter
- #41
Yakikukuta utajua hz ni sifa au Matatizo,Tangaza ukipata na virusi vya UKIMWI! Kifupi unapenda sifa za kijinga
Hamna maumbile ya Ulijari huwez pendwa kirahc.
Yakikukuta utajua hz ni sifa au Matatizo,Tangaza ukipata na virusi vya UKIMWI! Kifupi unapenda sifa za kijinga
mkuu hizi adhabu ni bora upigwe shaba ufariki tu ijulikane moja daah...hata North korea hawana adhabu hizi..mwe!
Kwahiyo unatueleza ili iweje?
Grow up.
kumbe wewe ni me?
hahaaaa nimeipenda hiii...! kajisahau huyooo kwwekwe kwekwikweiiiiiiii
nimeshindwa kuvumilia Vituko na MAJINA NAYOPEWA
kama NYOKA WA KIBISA,Sasa NAFANYA KWELI.....
NIKITOTOA NAE TU NAWEKA PICHA.
huyo wife wa jamaa si mchezo leo mudda si mmrefu amekja kuazima Charger YA pini ndogo yupo na KANGA MOJA.nabeba lawama
Mimi cjajisahau cjawah 2ma post humu nikiwa kama mkike mwenye ushahd atoe.
Olwz huwa nasema KUISHI KWA KU KARIRI NI TABU SANA.
anataka kutuletea series kama tamthilia subiri kesho tujue nini kinaendelea..
nimeshindwa kuvumilia Vituko na MAJINA NAYOPEWA
kama NYOKA WA KIBISA,Sasa NAFANYA KWELI.....
NIKITOTOA NAE TU NAWEKA PICHA.
huyo wife wa jamaa si mchezo leo mudda si mmrefu amekja kuazima Charger YA pini ndogo yupo na KANGA MOJA.nabeba lawama
Thanka you mdada....nilitaka nimuambie the same.....hili jukwaa MMU watu wanakuja an thread za ajabu ajabu sana ambazo hazina mafundisho kwa jamii.....tubadilikeKwahiyo unatueleza ili iweje?
Grow up.
Hii heading umeikosea. Ilibidi uandike kuwa unatangaza rasmi kutiana na mke wa jirani bila condom.