G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,881
Hongera sana Ngosha. Wanasemaga lile komu ulilo nalo limekupa nyongeza zaidi ya akili natangaza rasmi kuwa msemo huu ni wa kweli kabisa.
Miaka ya kuanzia 2009 hadi 2011 nilikuwa nakuona ukipitapita maeneo ya UDSM hasa hasa CoNAS na CoET nikawaza labda huwa unafuatilia matokeo ya vipimo vya udongo. La hau la kumbe ulikuwa unasoma. Hongera sana Ngosha.
Usifanye mchezo walimu wetu pale UDSM wanavyosotea PHD zao kwa miaka full time mitano na wanachukua kabisa na likizo maalum za kimasomo na wakirudi unajua kabisa kuwa katoka shule ngumu kisha wewe unapiga tu part time tena kwa miaka mitatu unaweka gamba lako la juu kabisa kwa pani! Una akili wewe! Uko vizuri munooooo! Uko pahala pazuri! Tembea kifua mbele Ngosha.
Pembeni ya mada naona na wale jamaa waliokupigania leo tunawaona umewapa vyeo vya juu kwenye mashirika ya umma. Ila na mimi nilikusaidiaga ka kozi fulani kale ulikotakiwa kufanya kabla hujaanza PhD ili ukidhi vigezo.
Ngosha tembea kifua mbele maana uko vizuri muno munooo! Nakutambua kama shujaa Ngosha!
Miaka ya kuanzia 2009 hadi 2011 nilikuwa nakuona ukipitapita maeneo ya UDSM hasa hasa CoNAS na CoET nikawaza labda huwa unafuatilia matokeo ya vipimo vya udongo. La hau la kumbe ulikuwa unasoma. Hongera sana Ngosha.
Usifanye mchezo walimu wetu pale UDSM wanavyosotea PHD zao kwa miaka full time mitano na wanachukua kabisa na likizo maalum za kimasomo na wakirudi unajua kabisa kuwa katoka shule ngumu kisha wewe unapiga tu part time tena kwa miaka mitatu unaweka gamba lako la juu kabisa kwa pani! Una akili wewe! Uko vizuri munooooo! Uko pahala pazuri! Tembea kifua mbele Ngosha.
Pembeni ya mada naona na wale jamaa waliokupigania leo tunawaona umewapa vyeo vya juu kwenye mashirika ya umma. Ila na mimi nilikusaidiaga ka kozi fulani kale ulikotakiwa kufanya kabla hujaanza PhD ili ukidhi vigezo.
Ngosha tembea kifua mbele maana uko vizuri muno munooo! Nakutambua kama shujaa Ngosha!