Natangaza kumchumbia Mary Hunbag.....

Natangaza kumchumbia Mary Hunbag.....

stevoh

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
2,921
Reaction score
1,106
Salamu wakuu,
heshima kwenu. Hili jambo ni la siku nyingi nimekua naliwaza ila leo inanibidi nitangaze kuwa nipo ninamchumbia Mtajwa hapo juu Mary Hanbig
Natangaza rasmi kuweka wazi kuwa nimekua nikimchumbia kigori huyu kwa muda sasa na nadhani baadhi ya member walishasikia harufu ya uhusiano wetu wa karibu.
Natangaza tena muda si mrefu tutatangaza ndoa. Na mwenye kipingamizi apeleke malalamiko yake kwenye kamati ya mahusiano na ndoa inayoongozwa na Baba V na wasaidizi wake.
Natoa nafasi kuwa naanza kupokea barua kwa wanaotaka kuwa washenga wangu.
Copy kwa wafwatao
chimbuvu, Erick52, mzizimkavu, watu8, mamndenyi, madame B, zion daughter, slave, c6, Babu Asprin, Baba V, nitonye, mungi, Bishanga Arabela, Arushaone, Vin Disel, manoah, Filipo. Bro mkubwa Mr. Rocky
 
kwanza hapi nyu iya maana nimekuona umetokelezea tu na hoja za uchumba tu mboni kisha wahiwa huyoo...

wewewewe unatafuta kuchomwa na kitu chenye ncha kali eeee. Embu nipe ushahidi wako. Kawahiwa na nani?
Na wewe Hapi nyu yia kwa hasira
 
Wewe stevoh huyu mwanadada si alikwambia "bado yupo yupo" sana!? Utamchumbiaje mtu anayekataa? Hapa unatafuta aibu. Labda aje aseme mwenyewe!
 
Last edited by a moderator:
Salamu wakuu,
heshima kwenu. Hili jambo ni la siku nyingi nimekua naliwaza ila leo inanibidi nitangaze kuwa nipo ninamchumbia Mtajwa hapo juu Mary Hanbug
Natangaza rasmi kuweka wazi kuwa nimekua nikimchumbia kigori huyu kwa muda sasa na nadhani baadhi ya member walishasikia harufu ya uhusiano wetu wa karibu.
Natangaza tena muda si mrefu tutatangaza ndoa. Na mwenye kipingamizi apeleke malalamiko yake kwenye kamati ya mahusiano na ndoa inayoongozwa na Baba V na wasaidizi wake.
Natoa nafasi kuwa naanza kupokea barua kwa wanaotaka kuwa washenga wangu.
Copy kwa wafwatao
chimbuvu, Erick52, mzizimkavu, watu8, mamndenyi, madame B, zion daughter, slave, c6, Babu Asprin, Baba V, nitonye, mungi, Bishanga Arabela, Arushaone, Vin Disel, manoah, Filipo. Bro mkubwa Mr. Rocky

Kila kitu kipo sawa mpenzi stevoh,wenye wivu wajinyonge!!!!
CC Baba V na kamati yote ya mahusiano na ndoa hapa Chit Chat!
 
Last edited by a moderator:
Wewe stevoh huyu mwanadada si alikwambia "bado yupo yupo" sana!? Utamchumbiaje mtu anayekataa? Hapa unatafuta aibu. Labda aje aseme mwenyewe!

unataka kupigwa. Yupo yupo wewe ndio ulimweka awepo awepo'
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom