Natangaza kuivunja ndoa ya Baba V na Mama V

Natangaza kuivunja ndoa ya Baba V na Mama V

Erickb52

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
18,554
Reaction score
11,485
Hello chitchat!
Natangaza kuwa ndoa kati ya Baba V na Mama v naivunja kuanzia leo tarehe 14 Oct 2013 kwa sababu Mama v hatumjui na sijui km anaexist.
Hivyo nikiwa km mwenyekiti naomba Mama v aje atoe tamko humu ili kutokana na majukumu kunizidia nimrudishie Baba V cheo chake Baba V huwezi kuongoza wanandoa wakati mkeo ni jina tu hivyo ni kama uko single!

I remain
Erickb52

Cc Vin Diesel Bishanga The secretary Katavi Excellent Chocs Arushaone Lady doctor Filipo Heaven on earth Mr Rocky Slave zubedayo_mchuzi Arabela amu sosoliso Mwalu mimi49 Judgement C6 charminglady Dena Amsi Mamndenyi nitonye Paloma Madame B Lucas sweetlady
kiwatengu YNNAH shansarie KOKUTONA figganigga Mentor TANMO Fixed Point snowhite stevoh DEMBA Kaizer ladyfurahia Nivea Avemaria KakaKiiza Mzee King'asti
 
Last edited by a moderator:
Huu mwezi mchanga nao unaleta matatizo kwenye jamii yetu. Mama v embu jitokeze tumalize ubishi
 
Last edited by a moderator:
he heeee heee kumekucha haya sasa Baba V na Mama v njooni hapa kwa pamoja muthibitishe ndoa yenu ku exist. btw Erickb52 mboni unapoteaga sana
 
Last edited by a moderator:
Baba V si ananyumba nyingi....??? nyumba kubwa ambayo ni Mama v na nyumba ndogo ndogo ambazo hamzijui.
 
Last edited by a moderator:
Baba V nadhani atakua Iringa, Samora stadium! Si tunasikiaga ni wa usalama wa neshno! Au?
 
Last edited by a moderator:
he heeee heee kumekucha haya sasa Baba V na Mama v njooni hapa kwa pamoja muthibitishe ndoa yenu ku exist. btw Erickb52 mboni unapoteaga sana

Hahahaha kumekucha kweli na kwa sasa haachwi mtu hadi kieleweke.

mi mzima DEMBA nilikuwa honeymoon na my sweetie Chocs wa ukweeee
 
Last edited by a moderator:
@Erickb52 baba JR wangu uko powa?

Majukumu gani tena yamekuzonga?

Poleee sana, naa msalimie Chocs naona anachungulia

 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom