Natangaza kugombea Urais

Kwa jinsi ulijipanga Dr Slaa anaweza kupata kura 50.
 
kweli mkulu kafanya urais kuwa ni kazi rahisi na nyepesi ,nakumbuka katika hotuba ya Mwl nyerer alisema ,"ikulu si mahali mahali pa kukimbilia kwani hakuna biashara yoyote ya kufanya"
 
Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! , Fastjet a.k.a Vasco Da Gama !
 
Khaa!!! kumbe wewe bogasi hujajua vizuri halafu unatangaza nia!!!! Kajipange upya!!!!
 
Niko Ikulu hapa mh analalamika,anasema viwanda alivyoanzisha kwa ajiri yakuzalisha nguvu kazi ya Taifa vimegeuka kuzalisha majungu na unafiki,na kila anachobuni nyie mnaiga tu na kumnanga,Nashauri mods waondoe huu uzi tucje ikosa JF
 
Kaka Rohombaya hapo lengo ni kuwa makini zaidi sitaki nimisi kazi za Rais.... kama unafahamu hata moja ambayo sijajiandaa nayo ni vizuri ukanikumbusha


Khaa!!! kumbe wewe bogasi hujajua vizuri halafu unatangaza nia!!!! Kajipange upya!!!!
 
Mzito Kabwela nadhani hujanisoma vizuri.... nakushauri urudie kusoma upya uzi huu... Nipo napiga Jaramba kugombea Urais 2015.... Bila shaka umeelewa!!!! nje ya hapo napata mashaka na ubongo wako .si vibaya ukapimwa

Unaonaje ukiwa nyumba ndogo yake msaidiane kutatua matatizo ya kifamilia? Au hupendi kuwa second lady mkuu muonamambo atakapoukwaa urais?
 
Tongs Hilo nimejiandaa vya kutosha kwani viburudisho vyote vya tangu primary, secondary na university na hata wale niliokutana nao mtaani orodha yao nimeiweka vizuri kusubiri nitakapokuwa Rais wa nchi hii
Una viburudisho vya kutosha kujaza nafasi za viti maalum, ubunge wa kuteuliwa, u-DC, nk?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…