Natangaza kugombea Urais


Yap kama napelile mwandosya patel na kimwana kipya kilichoingia shonza. Nasikia wanakigombea na shumbi madelu gulo
 
Mh Rais usisahau kuteua nduguzo kwenye nafasi mbalimbali kama Dhaifu afanyavyo
 
Mimi nakupa kura kwasababu kwa mujibu wa katiba ukiweza kufanya kazi zaidi ya rais aliyeko unaruhusiwa kuwa mgombea binafsi


We safiri tu hiyo ndio kazi kubwa
Na ukiiweza kura zako
 

Samahani naona umekosea kidogo id yako ukajiita Isalia badala ya badala ya masalia. Samahani lakini.
 
Last edited by a moderator:
Hii ya kukata utepe nina udhoefu nayo tangu Ukwata wakati tukifungua matawi ya Ukwata ... Bila Shaka nitaifanya kwa ufanisi bila kuhitaji msahidizi


Mhe. Rais mtarajiwa nafikiri katika kipindi chako cha kuongoza makamo wa rais pia hatokuwa na haja hata kidogo kwani sidhani kama kazi ya kukata utepe kwnye miradi mbalimbali itakushinda.
 
Ahsante AK47 Triger ... Nahaidi sitakuangusha.....

Mimi nakupa kura kwasababu kwa mujibu wa katiba ukiweza kufanya kazi zaidi ya rais aliyeko unaruhusiwa kuwa mgombea binafsi


We safiri tu hiyo ndio kazi kubwa
Na ukiiweza kura zako
 
Hatulalamiki Tango73 tunajaribu kujifunza kazi za Rais wetu

 
Si ndio maana nami nimekubali Kuletewa Suti ? Usijali kwa hili sitakuangusha nitakwenda USA na UK na suti kali watakazoniletea

 
Mimi Nitaenda piga Picha na Mesi na ronaldo ..nina list ndefu itajaza saver ya JF... Kwa miaka 10 nitakapokuwa Rais sidhani Kama nitawamaliza



.
 
Ritz Kwani ni lazima nigombee kwa ticketi ya Chadema ? Unaonaje ni kugombea kwa ticketi ya CCM?

Kweli Chadema wamepata jembe hapo inabidi Dr Slaa akae pembeni.
 
Utaifakwanza ... Nikimalizana na mama kayahii nawezagombea Urais kwa sifa nilizokutajia? Tafadhari naomba kura yako


Mkeo mwenyewe amekushinda, nakushauri umalize matatizo yako ya kifamilia kwanza
 
Ushawahimkuwa hata jumble na kusuruhisha migogoro ya ndoa...au mbwembwe...
 
Mademu wako wote usisahau kuwapa ukuu wa Wilaya. Wilaya zipo nyingi sana zitawatosha wote kila mmoja atapata Wilaya yake hivo hawatokua na ugomvi na first lady wako.
 
Huyu jamaa kasahau mema ya mh.rais kama yafuatayo:

.Maisha kuwa bora kwa kuongeza thaman ya bidhaa mf:mbolea kutoka 10,000/= hadi zaid ya 50,000/=
.sukar kutoka 900/= hadi 2,000/=
.dolar kutoka 1@600/= hadi 1@1,600/= n.k.
LAKINI PIA KAFANYA MAZURI YAFUATAYO:
.Mauaji ya mapadri na mashekh
.Mauaji ya Waandishi wa habar mf:Mwangosi
.mauaji ya Arusha 2011
.Kumteka Ulimboka ili kuwapga bit madaktar wasigome.
.kuchochea ubaguzi wa kidini, alafu anakaa kimya kujifanya haoni tatizo lolote.
Kwa kweli mh.rais kafanya mengi mazur, sema basi tu watz niwasaaulifu.
 
Haswa.....Hilo nimelizingatia. Orodha ya viburudisho against ukuu ww Wilaya, mikoa, viti maalum na post za kibalozi ninayo ...naomba kura yako

na usisahau kuwapa viburudisho vyako nafasi za juu serikalini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…