Natamani Zanzibar liwe Taifa huru

aleesha

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
776
1,121
- Nataka Rais wa Zanzibar atambulike kitaifa na kimataifa. Nataka heshima ya nchi yetu, iwe dola kamili.(Sovereign State).

Nataka nchi yangu ya Zanzibar iwe na mamlaka kamili kitaifa na kimataifa (Sovereignty). Nataka Paspoti ya Zanzibar irudishwe.

Nataka Zanzibar iwe na sarafu yake na Benki Kuu (Central Bank). Nataka Zanzibar irudishiwe Kiti chake cha Umoja wa Mataifa. Nataka Mali asili yetu mafuta, gesi n.k tuwachiwe wenyewe tuchimbe...

Je wewe mwenzangu unaunga mkono matakwa haya?
Mimi Aleesha naunga mkono kwa 100% wewe je?
 
historia ya zanzibar ndo inaleta ugumu wa mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa,,

Ni safari ndefu sana,ni zaidi ya kupiga kura na kubadili katiba..

- Nataka Rais wa Zanzibar atambulike kitaifa na kimataifa. Nataka heshima ya nchi yetu, iwe dola kamili.(Sovereign State)... Nataka nchi yangu ya Zanzibar iwe na mamlaka kamili kitaifa na kimataifa (Sovereignty). Nataka Paspoti ya Zanzibar irudishwe. Nataka Zanzibar iwe na sarafu yake na Benki Kuu (Central Bank). Nataka Zanzibar irudishiwe Kiti chake cha Umoja wa Mataifa. Nataka Mali asili yetu mafuta, gesi n.k tuwachiwe wenyewe tuchimbe...

Je wewe mwenzangu unaunga mkono matakwa haya?
Mimi Aleesha naunga mkono kwa 100% wewe je?
 
- Nataka Rais wa Zanzibar atambulike kitaifa na kimataifa. Nataka heshima ya nchi yetu, iwe dola kamili.(Sovereign State)... Nataka nchi yangu ya Zanzibar iwe na mamlaka kamili kitaifa na kimataifa (Sovereignty). Nataka Paspoti ya Zanzibar irudishwe. Nataka Zanzibar iwe na sarafu yake na Benki Kuu (Central Bank). Nataka Zanzibar irudishiwe Kiti chake cha Umoja wa Mataifa. Nataka Mali asili yetu mafuta, gesi n.k tuwachiwe wenyewe tuchimbe...

Je wewe mwenzangu unaunga mkono matakwa haya?
Mimi Aleesha naunga mkono kwa 100% wewe je?
Nakuunga mkono aleesha katika wazo na shauku yako ila nakukumbusha baadhi tu ya mambo ambayo unatakiwa uyafahamu.
Mosi: Nimebahatika kuishi Zanzibar ya Unguja pale Dunga (Kidimni) wakati naishi hapo nilijifunza mengi na mojawapo ni namna serikali ya bara ilivyojipanga kuhakikisha hakuna hata siku moja hilo litakuja kutokea ikiwa CCM bara bado iko madarakani. Kwa nini?
(A) Wanajeshi karibia asilimia 75 walioko kwenye makambi ya jeshi Zanzibar wote ni Wabara huku Wazanzibar wakiletwa Bara
(B) Siku mnatambulisha bendera yenu ya Taifa Zanzibar nilikuwepo uwanja wa Amani na mlipewa ili tu kuwafanya mnyamaze na hii ilitokana na kuwepo kwa baadhi ya mawaziri mmoja nimemsahau walikuwa wanasumbua sana suala la Zanzibar kujitenga na hata ukiingalia hiyo bendera yenu ni kichekesho tu
(C)Raisi wa Zanzibar huwekwa na CCM bara kwa mkakati maalumu
(D)Ubaguzi: mwazoni nilijua mlikuwa mnatubagua wabara kwa sababu labda ya dini zetu (ukristu) lakini nikaja kugundua mnabaguana tena kwa kiwango kikubwa kati ya Mpemba na Muunguja yaani Mpemba hatakiwi kula mema ya nchi kama alivyo Muunguja sasa mtapata vipi uhuru bila kuwa wamoja. Cha msingi vumilieni au ukaishi Oman au Saudi Arabia kama familia nyingi zilivyo hapo Unguja.
Nimekuambia haya nikiwa na asilimia 95% ya ninachokifahamu kuhusu Zanzibar na siku nyingine njoo na uzi unaosema kwa nini Biashara ya madawa ya kulevya Zanzibar iko juu kuliko hata bara takuambia
NB: Nimemkumbuka jina huyo waziri alikuwa anaitwa SHAMUHUNA
 
- Nataka Rais wa Zanzibar atambulike kitaifa na kimataifa. Nataka heshima ya nchi yetu, iwe dola kamili.(Sovereign State)... Nataka nchi yangu ya Zanzibar iwe na mamlaka kamili kitaifa na kimataifa (Sovereignty). Nataka Paspoti ya Zanzibar irudishwe. Nataka Zanzibar iwe na sarafu yake na Benki Kuu (Central Bank). Nataka Zanzibar irudishiwe Kiti chake cha Umoja wa Mataifa. Nataka Mali asili yetu mafuta, gesi n.k tuwachiwe wenyewe tuchimbe...

Je wewe mwenzangu unaunga mkono matakwa haya?
Mimi Aleesha naunga mkono kwa 100% wewe je?

Elisha tokea jana nakutafuta humu jamvini sikuoni. kuna mada muhimu alianzisha ndg yetu chibu kuhus muungano. nilikutafuta tuongeze nguvu za kumjibu paskali kutokana na hoja zake na wakorofi wengine . nathamini sana maandiko ya Chibu, Bopwe, Falcony na wengine. posts zako za zamani kuhusu dudu baya hili la muungano yalikuwa very substantive. Ndoto uliyoitaja ktk andiko lako hili naunga mkono 100%.
 
Nakuunga mkono aleesha katika wazo na shauku yako ila nakukumbusha baadhi tu ya mambo ambayo unatakiwa uyafahamu.
Mosi: Nimebahatika kuishi Zanzibar ya Unguja pale Dunga (Kidimni) wakati naishi hapo nilijifunza mengi na mojawapo ni namna serikali ya bara ilivyojipanga kuhakikisha hakuna hata siku moja hilo litakuja kutokea ikiwa CCM bara bado iko madarakani. Kwa nini?
(A) Wanajeshi karibia asilimia 75 walioko kwenye makambi ya jeshi Zanzibar wote ni Wabara huku Wazanzibar wakiletwa Bara
(B) Siku mnatambulisha bendera yenu ya Taifa Zanzibar nilikuwepo uwanja wa Amani na mlipewa ili tu kuwafanya mnyamaze na hii ilitokana na kuwepo kwa baadhi ya mawaziri mmoja nimemsahau walikuwa wanasumbua sana suala la Zanzibar kujitenga na hata ukiingalia hiyo bendera yenu ni kichekesho tu
(C)Raisi wa Zanzibar huwekwa na CCM bara kwa mkakati maalumu
(D)Ubaguzi: mwazoni nilijua mlikuwa mnatubagua wabara kwa sababu labda ya dini zetu (ukristu) lakini nikaja kugundua mnabaguana tena kwa kiwango kikubwa kati ya Mpemba na Muunguja yaani Mpemba hatakiwi kula mema ya nchi kama alivyo Muunguja sasa mtapata vipi uhuru bila kuwa wamoja. Cha msingi vumilieni au ukaishi Oman au Saudi Arabia kama familia nyingi zilivyo hapo Unguja.
Nimekuambia haya nikiwa na asilimia 95% ya ninachokifahamu kuhusu Zanzibar na siku nyingine njoo na uzi unaosema kwa nini Biashara ya madawa ya kulevya Zanzibar iko juu kuliko hata bara takuambia

Ahsante kwa makala yko iliyojaa upupu. Kuweko kwa zaidi ya 75% ya wanajeshi wabara ktk kambi za kijeshi kule zenj haina uhusiano wowote na maamuzi ya wazanzibari. Tukitaka tunaweza kukianzisha na huwa kawaida yetu hatuogopi jeshi, polisi wala vifaru. rejea episode ya maandamano ya pemba mwaka 2001. kule mkapa lanatullahi alimwaga kila aina ya jeshi unaowajua lakn tuliweza kukabiliana nao. Amini wanajeshi walikuja na AK 47 na haikuturejesha nyuma.

Fikiria ni nani aliyapta kufikiria kama urusi ya zamani ( muungano wa kisoviet ungesambaratika? ) pamoja na uwezo wake wa kijeshi. leo imesambaratika kama pamba. Angalia iliyokuwa yugoslavia nako . Kwa hiyo suala la znz kujitenga na muugnao ni suala la muda tu. Time will tell. Naelewa kuwa contexts zinatofautina lakn ujue kuwa sauti za pamoja zina nguvu. mindset ya kule znz ni kuwa hatutaki muungano kwa sababu hautendi haki na umetufanya tuwe masikini zaidi na kutunyima infleunce yetu duniani.
 
Kabla ya kutamani Zanzibar kuwa yenye mamlaka kamili inayotambulika kimataifa, ungeanza kwa kujielimisha kwa kina kuhusu historia ya Zanzibar kabla ya kuungana na Tanganyika. Zanzibar ilipata uhuru wake kutoka kwa waingereza na kukabidhiwa kwa Sultani wa Zanzibar, kabla ya hapo haikuwahi kutambulika kama nchi nje ya himaya ya waarabu wa Ghuba ya uajemi.

Muundo wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar tulionao... uliokuja kuzaa Tanzania ya sasa ni matokeo ya juhudi binafsi za muasisi wa mapinduzi ya Zanzibar aliyemuondoa Sultani madarakani na kuunda Serikali ya waafrika ambayo pengine bila ya mkakati wa muungano, isingweza kudumu hadi siku ya leo. Labda kwa faida ya wadau wa muungano uliopo sasa, mtoa mada ungedadavua zaidi ni Zanzibar huru ipi inayotambulika kimataifa unayoitamani....
 
Ahsante kwa makala yko iliyojaa upupu. Kuweko kwa zaidi ya 75% ya wanajeshi wabara ktk kambi za kijeshi kule zenj haina uhusiano wowote na maamuzi ya wazanzibari. Tukitaka tunaweza kukianzisha na huwa kawaida yetu hatuogopi jeshi, polisi wala vifaru. rejea episode ya maandamano ya pemba mwaka 2001. kule mkapa lanatullahi alimwaga kila aina ya jeshi unaowajua lakn tuliweza kukabiliana nao. Amini wanajeshi walikuja na AK 47 na haikuturejesha nyuma.

Fikiria ni nani aliyapta kufikiria kama urusi ya zamani ( muungano wa kisoviet ungesambaratika? ) pamoja na uwezo wake wa kijeshi. leo imesambaratika kama pamba. Angalia iliyokuwa yugoslavia nako . Kwa hiyo suala la znz kujitenga na muugnao ni suala la muda tu. Time will tell. Naelewa kuwa contexts zinatofautina lakn ujue kuwa sauti za pamoja zina nguvu. mindset ya kule znz ni kuwa hatutaki muungano kwa sababu hautendi haki na umetufanya tuwe masikini zaidi na kutunyima infleunce yetu duniani.
Hamkurudi nyumba una uhakika na unachosema mpembaawise!!!!

Mbona mkaufyata mpaka leo, 2015 jecha akawajechua sikusikia mlume yeyote anakaza kifua!!! Achana na haya mambo ya uamsho ni upumbavu, mkiachwa wenyewe hapo, alshabaab wanakuja kuweka himaya hapo biashara imeisha.
 
Ahsante kwa makala yko iliyojaa upupu. Kuweko kwa zaidi ya 75% ya wanajeshi wabara ktk kambi za kijeshi kule zenj haina uhusiano wowote na maamuzi ya wazanzibari. Tukitaka tunaweza kukianzisha na huwa kawaida yetu hatuogopi jeshi, polisi wala vifaru. rejea episode ya maandamano ya pemba mwaka 2001. kule mkapa lanatullahi alimwaga kila aina ya jeshi unaowajua lakn tuliweza kukabiliana nao. Amini wanajeshi walikuja na AK 47 na haikuturejesha nyuma.

Fikiria ni nani aliyapta kufikiria kama urusi ya zamani ( muungano wa kisoviet ungesambaratika? ) pamoja na uwezo wake wa kijeshi. leo imesambaratika kama pamba. Angalia iliyokuwa yugoslavia nako . Kwa hiyo suala la znz kujitenga na muugnao ni suala la muda tu. Time will tell. Naelewa kuwa contexts zinatofautina lakn ujue kuwa sauti za pamoja zina nguvu. mindset ya kule znz ni kuwa hatutaki muungano kwa sababu hautendi haki na umetufanya tuwe masikini zaidi na kutunyima infleunce yetu duniani.
Umenichekesha sana kibwengomfupi anyway kila rakheri katika kujitoa kwenye muungano. Nimepamiss sana Mwembelandu, Mchambawima,Mfereji wa Wima, Mlandege pia Mfenesini. Usiku mwema mkuu
 
- Nataka Rais wa Zanzibar atambulike kitaifa na kimataifa. Nataka heshima ya nchi yetu, iwe dola kamili.(Sovereign State)... Nataka nchi yangu ya Zanzibar iwe na mamlaka kamili kitaifa na kimataifa (Sovereignty). Nataka Paspoti ya Zanzibar irudishwe. Nataka Zanzibar iwe na sarafu yake na Benki Kuu (Central Bank). Nataka Zanzibar irudishiwe Kiti chake cha Umoja wa Mataifa. Nataka Mali asili yetu mafuta, gesi n.k tuwachiwe wenyewe tuchimbe...

Je wewe mwenzangu unaunga mkono matakwa haya?
Mimi Aleesha naunga mkono kwa 100% wewe je?

Zenji ni kakoloni ketu haitakujawahi tokea!
 
Nakuunga mkono aleesha katika wazo na shauku yako ila nakukumbusha baadhi tu ya mambo ambayo unatakiwa uyafahamu.
Mosi: Nimebahatika kuishi Zanzibar ya Unguja pale Dunga (Kidimni) wakati naishi hapo nilijifunza mengi na mojawapo ni namna serikali ya bara ilivyojipanga kuhakikisha hakuna hata siku moja hilo litakuja kutokea ikiwa CCM bara bado iko madarakani. Kwa nini?
(A) Wanajeshi karibia asilimia 75 walioko kwenye makambi ya jeshi Zanzibar wote ni Wabara huku Wazanzibar wakiletwa Bara
(B) Siku mnatambulisha bendera yenu ya Taifa Zanzibar nilikuwepo uwanja wa Amani na mlipewa ili tu kuwafanya mnyamaze na hii ilitokana na kuwepo kwa baadhi ya mawaziri mmoja nimemsahau walikuwa wanasumbua sana suala la Zanzibar kujitenga na hata ukiingalia hiyo bendera yenu ni kichekesho tu
(C)Raisi wa Zanzibar huwekwa na CCM bara kwa mkakati maalumu
(D)Ubaguzi: mwazoni nilijua mlikuwa mnatubagua wabara kwa sababu labda ya dini zetu (ukristu) lakini nikaja kugundua mnabaguana tena kwa kiwango kikubwa kati ya Mpemba na Muunguja yaani Mpemba hatakiwi kula mema ya nchi kama alivyo Muunguja sasa mtapata vipi uhuru bila kuwa wamoja. Cha msingi vumilieni au ukaishi Oman au Saudi Arabia kama familia nyingi zilivyo hapo Unguja.
Nimekuambia haya nikiwa na asilimia 95% ya ninachokifahamu kuhusu Zanzibar na siku nyingine njoo na uzi unaosema kwa nini Biashara ya madawa ya kulevya Zanzibar iko juu kuliko hata bara takuambia
Nakusahihisha kdg tu Saudi Arabia haihodhi wa EastAfricans zaida 80 familia ila ubalozi wa TZ upo (Hakuna mzanzibar) zaida ya wanafunzi isabu kwa vidole !!
Mengine uyasemayo Labda na Sina muhim nayo!!
Ubarikiwe..sikukuu muruwa
 
Nakusahihisha kdg tu Saudi Arabia haihodhi wa EastAfricans zaida 80 familia ila ubalozi wa TZ upo (Hakuna mzanzibar) zaida ya wanafunzi isabu kwa vidole !!
Mengine uyasemayo Labda na Sina muhim nayo!!
Ubarikiwe..sikukuu muruwa
Asante mkuu. Kama uko Zanzibar nisalimie Wazanzibar tell them i love them because most of them they are so kindness
 
I wish siku moja Tim ya taifa ya Zanzibar
Zanzibar hiros nayo itambuliwe Na FIFA Na caf
Kama national Tim ya taifa la Zanzibar
 
Back
Top Bottom