Natamani tuendelee kusherehekea

Natamani tuendelee kusherehekea

Eng Kimox Kimokole

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2010
Posts
1,041
Reaction score
772
Kimokole Wedding.jpg

ilikuwa full shangwe
 
Mbona kama watoto wameoa? Au walikuwa wanacheza baba na mama.
 
Hongereni kwa uamuzi mlio chukua,walio changia hapo juu naona bado wapowapo sana!!
 
mnh hao watoto wadogo wanacheza shoo o ndo bwana harusi na msimamizi?
 
Congratulations guys, welcome in a 'club' where you'd wish you couldn't have joined in a first place. You'd get used to it at least after ten ti 15yrs.
 
Hawa wanaonekana kweli ni watoto, Naona kama bibi harusi hana furaha ya moyoni...
 
Mbona kama watoto wameoa? Au walikuwa wanacheza baba na mama.
Hahahahaha! sio watoto ndio vijana wasiku hizi wanapenda kusukuba magari bakubwa makubwa at wanadai yana speed zaidi!
 
bibi harusi na matron mbona midomo sare sare?
 
jamaa ss anakuwa na uhakika kila siku sio nyie mnamangamanga
 
Back
Top Bottom