Eng Kimox Kimokole
JF-Expert Member
- Jun 9, 2010
- 1,041
- 772
Hongereni kwa uamuzi mlio chukua,walio changia hapo juu naona bado wapowapo sana!!
Hawa ni kina nani?????????
Na hiyo AVATAR yako mmmh kama ndio wewe mwenyewe hebu ni pm 😛hone:😛ray:hiii avatar yako mkubwa.....duh.....aiseee
Hahahahaha! sio watoto ndio vijana wasiku hizi wanapenda kusukuba magari bakubwa makubwa at wanadai yana speed zaidi!Mbona kama watoto wameoa? Au walikuwa wanacheza baba na mama.