Natamani sana somo la dini lingefundishwa mashuleni

BENEDICT BONIFACE

JF-Expert Member
Aug 31, 2013
235
396
Dini ni kitu kizuri cha kuwarithisha watoto ila sijapata jibu kwa nini serikali haijaweka somo hili lifundishwe tangu ngazi za chini kabisa ili mtoto awe mwenye maadili ya kiuungu.

Ukizingatia faida nyingi tunaweza kupata kama taifa likiwa na watu wanaomjua Mungu vizuri.

Kwanini dini haijapewa uzito mashuleni na kuachiwa wazazi na viongozi wa dini ambapo pia ni hiari yako kuhudhuria kanisani au msikitini.

Naomba maoni yenu wadau. Nawasilisha.
 
Dini ni kitu kizuri cha kuwarithisha watoto ila sijapata jibu kwa nini serikali haijaweka somo hili lifundishwe tangu ngazi za chini kabisa ili mtoto awe mwenye maadili ya kiuungu. Ukizingatia faida nyingi tunaweza kupata kama taifa likiwa na watu wanaomjua Mungu vizuri. Kwa nini dini haijapewa uzito mashuleni na kuachiwa wazazi na viongozi wa dini ambapo pia ni hiari yako kuhudhuria kanisani au msikitini. Naomba maoni yenu wadau. Nawasilisha.
Kuna makanisa na misikiti, ndiyo kazi yake.
 
Were jamaa wewe kweli ndina.
Kusema uombe serikali ifundishe elimu ya kujitambua Na kua Na +ve thought wewe wataka dini. Really??? So bora ifundishwe imani kuliko dini.

Swami kwako mtoa mada we we ni nano?

Ukilijibu nafuta hii comment
 
Dini ni kitu kizuri cha kuwarithisha watoto ila sijapata jibu kwa nini serikali haijaweka somo hili lifundishwe tangu ngazi za chini kabisa ili mtoto awe mwenye maadili ya kiuungu. Ukizingatia faida nyingi tunaweza kupata kama taifa likiwa na watu wanaomjua Mungu vizuri. Kwa nini dini haijapewa uzito mashuleni na kuachiwa wazazi na viongozi wa dini ambapo pia ni hiari yako kuhudhuria kanisani au msikitini. Naomba maoni yenu wadau. Nawasilisha.

Hakunaga watu washenzi kama wanadini.... ni wanafki kinoma..... mtoto wako mfundishe kiuhalisia.... usimkataze au kumuonya jambo kwa kupitia vifungu vya dini....... mkataze na umkanye kwa maelekezo halisi.... yanayoonekana
 
Hakunaga watu washenzi kama wanadini.... ni wanafki kinoma..... mtoto wako mfundishe kiuhalisia.... usimkataze au kumuonya jambo kwa kupitia vifungu vya dini....... mkataze na umkanye kwa maelekezo halisi.... yanayoonekana
kuna mzazi mwenye maonyo bora kuliko Mungu? Neno la Mungu ni kweli na halitakuja kupitwa na wakati.
 
Were jamaa wewe kweli ndina.
Kusema uombe serikali ifundishe elimu ya kujitambua Na kua Na +ve thought wewe wataka dini. Really??? So bora ifundishwe imani kuliko dini.

Swami kwako mtoa mada we we ni nano?

Ukilijibu nafuta hii comment
dini ndo inaijenga imani ya mtu na kadri unavyozidi kumjua Mungu ndivyo unavyozidi kujitambua wewe mwenyewe.
Haina haja ya kufuta comment hilo swali la kujiuliza mimi ni nani hakuna anaeweza kulijibu kwa usahihi. Hata yesu alivyouliza watu wanasema mimi ni nani, na nyinyi je mnasema mimi ni nani mmoja alisema wewe ni masihi lakini wengine walitaja watu wengine.
 
Were jamaa wewe kweli ndina.
Kusema uombe serikali ifundishe elimu ya kujitambua Na kua Na +ve thought wewe wataka dini. Really??? So bora ifundishwe imani kuliko dini.

Swami kwako mtoa mada we we ni nano?

Ukilijibu nafuta hii comment
Kunatofauti kati ya dini na imani?
Maana imani ipo ndani ya dini, mfano dini ya kipagani wanaamini muzimu ndio mungu imani yao ipo kwa muzimu
 
Dini ni kitu kizuri cha kuwarithisha watoto ila sijapata jibu kwa nini serikali haijaweka somo hili lifundishwe tangu ngazi za chini kabisa ili mtoto awe mwenye maadili ya kiuungu. Ukizingatia faida nyingi tunaweza kupata kama taifa likiwa na watu wanaomjua Mungu vizuri. Kwa nini dini haijapewa uzito mashuleni na kuachiwa wazazi na viongozi wa dini ambapo pia ni hiari yako kuhudhuria kanisani au msikitini. Naomba maoni yenu wadau. Nawasilisha.
nimefurahi kusikia mkuu wa mkoa wa Dar es salaam anaanzisha mpango wa kusimamia vipindi vya dini mashuleni ni mwanzo mzuri nafikiri hata maeneo mengine wataiga na kuchukuliwa kama suala la kitaifa.
 
As a conscious black African, nasema ushauri huu ni wa kilofa. Tafakari ujitambue, usikubali kuburuzwa kama ng'ombe.
 
Dini ni kitu kizuri cha kuwarithisha watoto ila sijapata jibu kwa nini serikali haijaweka somo hili lifundishwe tangu ngazi za chini kabisa ili mtoto awe mwenye maadili ya kiuungu.

Ukizingatia faida nyingi tunaweza kupata kama taifa likiwa na watu wanaomjua Mungu vizuri.

Kwanini dini haijapewa uzito mashuleni na kuachiwa wazazi na viongozi wa dini ambapo pia ni hiari yako kuhudhuria kanisani au msikitini.

Naomba maoni yenu wadau. Nawasilisha.
Wazo zuri, ondoa masomo yote ya sayansi kwenye mitaala inawaharibu watoto akili, fundisha dini tu...mungu ndiyo kila kitu, Taifa letu litaedelea fasta tukipata kizazi "kinachomwogopa" mungu!
 
Back
Top Bottom