Bill of Quantity
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 1,233
- 407
Habari zenu wana JF?
Mimi ni mwanachuo, nategemea kuhitimu masomo yangu mwezi July mwaka huu.
Binafsi nimekuwa na ndoto za muda mrefu za kuja kumiliki miradi yangu binafsi ambayo angalau iniingizie 'net profit' kuanzia angalau USD 6000 kwa mwezi.
wadau, umri wangu sasa ni miaka 24, nawategemea sana ninyi kama ndugu zangu, kaka zangu wa karibu, mama na baba zangu, mnipe japo ABC's za kuingilia uraiani ili nitimize ndoto zangu.
Najua kuingia huko kwenye private employment kunahitaji starting capital, hapa nilipo sina pesa za kutosha! niseme ukweli.
Nahitimu masomo nikiwa na passion ya biashara hasa hasa katika field za logistics and transportation.
Mdau mmoja kanishauri nitafute ajira kwanza kwenye field hii kabla sijajiari, bado nawaza na kuwazua.
Wadau nipeni maoni yenu na ushauri.
Shukrani sana.
Mimi ni mwanachuo, nategemea kuhitimu masomo yangu mwezi July mwaka huu.
Binafsi nimekuwa na ndoto za muda mrefu za kuja kumiliki miradi yangu binafsi ambayo angalau iniingizie 'net profit' kuanzia angalau USD 6000 kwa mwezi.
wadau, umri wangu sasa ni miaka 24, nawategemea sana ninyi kama ndugu zangu, kaka zangu wa karibu, mama na baba zangu, mnipe japo ABC's za kuingilia uraiani ili nitimize ndoto zangu.
Najua kuingia huko kwenye private employment kunahitaji starting capital, hapa nilipo sina pesa za kutosha! niseme ukweli.
Nahitimu masomo nikiwa na passion ya biashara hasa hasa katika field za logistics and transportation.
Mdau mmoja kanishauri nitafute ajira kwanza kwenye field hii kabla sijajiari, bado nawaza na kuwazua.
Wadau nipeni maoni yenu na ushauri.
Shukrani sana.