Nakumbuka huko siku za nyuma miaka 2018, nilikuwa nawaza sana juu ya unywaji wangu,nilikuwa napiga hesabu pesa ninayo tumia kwa siku ,wiki hadi mwezi.
Ilifikia siwezi kupitisha siku bila kuzama bar ,na nilazima nipige nne au tano ndo kidogo akiri itulie.
Nilikuwa najiona napotea kabisa na vile vipesa vilikuwepo ndo kabisa katabia nako ndo kakashamiri.
Kuna siku nikafika bar nikaagiza bia zangu mbili nikakaa ,nikazitizama wee nikawa najiuliza nitafanya hivi hadi lini ? Nikamuita mhudumu nikalipa nikamwambia kunywa huizi bia, mie nina dozi ndo nimekumbuka hapa.Nikarudi zangu hom.
Pombe si nzuri ,ina kaushetani hasa ikiona una hela za kuinunua kila siku,haitakuacha salama