Natamani niwe mlevi

Brother pombe zenye afya na za faida unaweza kutupa mwongozo kidogo ni za namna gani?
Naomba kujua pia hizi local bia zipo upande gani labda, ni pombe za afya na za faida ?
Natanguliza shukurani.
 
kwenu hakuna wakubwa?
 
Nakumbuka huko siku za nyuma miaka 2018, nilikuwa nawaza sana juu ya unywaji wangu,nilikuwa napiga hesabu pesa ninayo tumia kwa siku ,wiki hadi mwezi.
Ilifikia siwezi kupitisha siku bila kuzama bar ,na nilazima nipige nne au tano ndo kidogo akiri itulie.

Nilikuwa najiona napotea kabisa na vile vipesa vilikuwepo ndo kabisa katabia nako ndo kakashamiri.
Kuna siku nikafika bar nikaagiza bia zangu mbili nikakaa ,nikazitizama wee nikawa najiuliza nitafanya hivi hadi lini ? Nikamuita mhudumu nikalipa nikamwambia kunywa huizi bia, mie nina dozi ndo nimekumbuka hapa.Nikarudi zangu hom.
Pombe si nzuri ,ina kaushetani hasa ikiona una hela za kuinunua kila siku,haitakuacha salama
 

Mkuu Mi natamani sana Kuwa Mzinzi ila sijui Kwanini Nashindwa Daaa🥱

wajuvi waje wanipe Mbinu
 
Kilevi kina gharama na kinakuja na extras
Piga hesabu kwa walevi wanavyotumia hela zao kwa siku x wiki x mwezi x mwaka halafu tafakari
Ila ni uamuzi wako pia kama umelifikiria hilo na umeamua kufanya good luck
Nmejipanga na sitafeli kwa hesabu kuu katika mzunguko wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…