Elections 2010 Natamani ningekuwepo nyumbani!!!

JS

JF-Expert Member
Sep 29, 2009
2,064
499
WanaJf, with only two days to go for general elections (ukiondoa leo), nasikitika kutokuwepo nyumbani ili nimchague kiongozi (viongozi) nayeona atafaa kutukomboa katika matatizo haya tuliyonayo.

Natamani Tanzania ingekuwa na uwezo kwa wale walioko nje ya nyumbani kuweza kupiga kura kwa sababu ni kura nyingi sana ambazo ziko nje na zingeweza kuleta mabadiliko yale ambayo wananchi wengi tumekuwa tukiyalalamikia.

Kwa wengine kama mie, i was looking so much forward to voting this year ingekuwa ni mara ya kwanza kupiga kura.Mara nyingine za nyuma sikuwepo pia lakini somehow somewhere God didnt make it possible even for this year.

I urge all the wananchi back home through this esteemed Forum, to vote wisely, vote with a positive spirit, vote like a real nationalist and above all vote for a change...yes you can!!!

Muwe na siku njema.

JS
 
Pole sana JS ;wewe ni Mzalendo na bila shaka tutakuwakilisha kuchagua wisely and for Change.
 
I think the Tanzania Diaspora have its association. You should forward your views to them. |
It is easier for them to persuade the Ministry of Foreign Affairs and NEC to arrange such a move ili iwezekane in 2015.
Although I think watazingua cz most voters will oppose the ruling party.

I have been asking myself kwa nini hata Tanzanian PRISONERS in hawapigi kura wakati wapo nchini.
I think wanasheria mnisaidie hapo
 
WanaJf, with only two days to go for general elections (ukiondoa leo), nasikitika kutokuwepo nyumbani ili nimchague kiongozi (viongozi) nayeona atafaa kutukomboa katika matatizo haya tuliyonayo.

Natamani Tanzania ingekuwa na uwezo kwa wale walioko nje ya nyumbani kuweza kupiga kura kwa sababu ni kura nyingi sana ambazo ziko nje na zingeweza kuleta mabadiliko yale ambayo wananchi wengi tumekuwa tukiyalalamikia.

Kwa wengine kama mie, i was looking so much forward to voting this year ingekuwa ni mara ya kwanza kupiga kura.Mara nyingine za nyuma sikuwepo pia lakini somehow somewhere God didnt make it possible even for this year.

I urge all the wananchi back home through this esteemed Forum, to vote wisely, vote with a positive spirit, vote like a real nationalist and above all vote for a change...yes you can!!!

Muwe na siku njema.

JS
Thnkas JS,
We will vote wisely and we shall get true leaders inshallah!!!\

Be a good girl and as the Ugandans... how do they pronounce election?
 
Pole sana JS. Nakuomba wasiliana na ndugu, jamaa na marafiki wote walio nchini katika siku hizi tatu kwa simu au emails na kuwashawishi ili wampigie kura Rais Mtarajiwa Dr Slaa, Wagombea ubunge na udiwani toka Chadema.
 
for sure change is all we need,and it has to be now For everything you have missed, you have gained something else, and for everything you gain, you lose ,so uisijali dia Growth means change and change involves risk, stepping from the known to the unknown.
Nawakalisha :peace::peace::peace:

WanaJf, with only two days to go for general elections (ukiondoa leo), nasikitika kutokuwepo nyumbani ili nimchague kiongozi (viongozi) nayeona atafaa kutukomboa katika matatizo haya tuliyonayo.

Natamani Tanzania ingekuwa na uwezo kwa wale walioko nje ya nyumbani kuweza kupiga kura kwa sababu ni kura nyingi sana ambazo ziko nje na zingeweza kuleta mabadiliko yale ambayo wananchi wengi tumekuwa tukiyalalamikia.

Kwa wengine kama mie, i was looking so much forward to voting this year ingekuwa ni mara ya kwanza kupiga kura.Mara nyingine za nyuma sikuwepo pia lakini somehow somewhere God didnt make it possible even for this year.

I urge all the wananchi back home through this esteemed Forum, to vote wisely, vote with a positive spirit, vote like a real nationalist and above all vote for a change...yes you can!!!

Muwe na siku njema.

JS
 
Back
Top Bottom