JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 499
WanaJf, with only two days to go for general elections (ukiondoa leo), nasikitika kutokuwepo nyumbani ili nimchague kiongozi (viongozi) nayeona atafaa kutukomboa katika matatizo haya tuliyonayo.
Natamani Tanzania ingekuwa na uwezo kwa wale walioko nje ya nyumbani kuweza kupiga kura kwa sababu ni kura nyingi sana ambazo ziko nje na zingeweza kuleta mabadiliko yale ambayo wananchi wengi tumekuwa tukiyalalamikia.
Kwa wengine kama mie, i was looking so much forward to voting this year ingekuwa ni mara ya kwanza kupiga kura.Mara nyingine za nyuma sikuwepo pia lakini somehow somewhere God didnt make it possible even for this year.
I urge all the wananchi back home through this esteemed Forum, to vote wisely, vote with a positive spirit, vote like a real nationalist and above all vote for a change...yes you can!!!
Muwe na siku njema.
JS
Natamani Tanzania ingekuwa na uwezo kwa wale walioko nje ya nyumbani kuweza kupiga kura kwa sababu ni kura nyingi sana ambazo ziko nje na zingeweza kuleta mabadiliko yale ambayo wananchi wengi tumekuwa tukiyalalamikia.
Kwa wengine kama mie, i was looking so much forward to voting this year ingekuwa ni mara ya kwanza kupiga kura.Mara nyingine za nyuma sikuwepo pia lakini somehow somewhere God didnt make it possible even for this year.
I urge all the wananchi back home through this esteemed Forum, to vote wisely, vote with a positive spirit, vote like a real nationalist and above all vote for a change...yes you can!!!
Muwe na siku njema.
JS