Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
MH RAIS KIKWETE alisema majuzi kawe anatamani neti ingekuwa inazuia ukimwi...amesikitika sana kwa jinsi watu wanavyousambaza kwa makusudi akaapa kufa nao sahan moja ...rais kikwete alikuwa katik moja yakampen zake za dar es salaam...na kumtangza bint wake wa CCM mgombea UBUNGE..
Kwa kweli inasikitisha sana kwa jinsi huu ugonjwa unavyoambukizwa yaani natamani neti ingetumika kuzuia kuambukiza ukimwi atleast wengi wangepona...mmmh mh rais sasa ile neti yote ukivaa shugulini kunakuwa na sera tena jamani.....
Kwa kweli inasikitisha sana kwa jinsi huu ugonjwa unavyoambukizwa yaani natamani neti ingetumika kuzuia kuambukiza ukimwi atleast wengi wangepona...mmmh mh rais sasa ile neti yote ukivaa shugulini kunakuwa na sera tena jamani.....