Digital Marketer
Senior Member
- May 1, 2019
- 112
- 149
Za mida wakuu....
Kama kichwa kisemavyo.....
Sikuwai kupenda maisha ya shule ya msingi na secondary...
Kwasababu...
1.Fimbo...kiukweli nilikua sipendi fimbo
2.Njaa kali...mda mwingi nilikua sishibi...hata nikila namna gani.
3.Kuulizwa matokeo kila wakati...Yani hii ilikua inaniboa balaa....afu kwetu hata ukiwa wa kwanza utaambiwa umekua wakwanza kwenye darasa la vilaza....
4.Na mauzi mengine madogo madogo.
Chuo na kazini
1. Nilikua huru atimae....na GPA ikaanza kusoma poa kwasababu akuna mtu wa kunifatilia....
2.Leo parting kesho U.E....maisha burudani...
3.Mtaani unatumia akili....akuna kukariri.....
Maisha full kufikiria.....Yani full burudani....
4. Na mambo mengine mazuri na mabaya.
Kama kichwa kisemavyo.....
Sikuwai kupenda maisha ya shule ya msingi na secondary...
Kwasababu...
1.Fimbo...kiukweli nilikua sipendi fimbo
2.Njaa kali...mda mwingi nilikua sishibi...hata nikila namna gani.
3.Kuulizwa matokeo kila wakati...Yani hii ilikua inaniboa balaa....afu kwetu hata ukiwa wa kwanza utaambiwa umekua wakwanza kwenye darasa la vilaza....
4.Na mauzi mengine madogo madogo.
Chuo na kazini
1. Nilikua huru atimae....na GPA ikaanza kusoma poa kwasababu akuna mtu wa kunifatilia....
2.Leo parting kesho U.E....maisha burudani...
3.Mtaani unatumia akili....akuna kukariri.....
Maisha full kufikiria.....Yani full burudani....
4. Na mambo mengine mazuri na mabaya.