Natamani kuwa Mkenya

Natamani kuwa Mkenya

last week nimempokea rafiki yangu mkenya toka nairobi.ni graduate wa Kenyatta university.kaja tanzania kujaribu bahati yake ya kusaka maisha bora.akaniambia hana hamu na maisha ya kenya ya kukosa ajira.
kilicho muuma ni kwamba pale boda ya namanga,amegonga week moja wakati lengo lake ni kuishi bongo mda mrefu.nikamwambia aondoewe shaka.kapata rafiki "born-town" mtz.kila kitu kitaenda sawa.
MK254.


Tutajuaje haukula RUSHWA kumtafutia mhamiaji haramu uhalali.....halafu mambo yenu/ yako na rafikizo kuna haja gani kumwaga humu jamvini?.......vyombo vya usalama vimshughulikie huyu.......mfisadi.
 
Tutajuaje haukula RUSHWA kumtafutia mhamiaji haramu uhalali.....halafu mambo yenu/ yako na rafikizo kuna haja gani kumwaga humu jamvini?.......vyombo vya usalama vimshughulikie huyu.......mfisadi.
acha kuwa na wivu wa kike dhidi ya nduguyo mkenya ambaye nimemsaidia kumpa hifadhi hapa dar.amekuja kutafuta ajira.
 
umetamani kuwa mkenya kisa barabara za juu?? duuuh pole.. reli?? mmh... ukienda ulaya si utaomba vingine wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom