nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 290
- 237
Ni week ya pili toka nitoke Kenya, vitu nilivyoviona huko sitamani hata kuwa mtanzania. Watu wako serious bwana, kuna barabara za juu kila kona pia wanajenga railway ya kisasa kutoka Mombasa hadi Nairobi.
Sisi watanzania sijui tumelaaniwa nini jamani.
Sisi watanzania sijui tumelaaniwa nini jamani.