joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,037
Nonsense
Nonsense
Acha ushenzi-pesa ninazo sana, sasa kwa pesa nitampataje sasa
pesa ninazo sana, sasa kwa pesa nitampataje sasa
tafuta number yake ya simu umtumie milion mbili kila siku kwa muda wa siku 5Habarini wakuu,
Kuna dada mmoja mzuri sana shombeshombe tunakaa nae mtaa mmoja. Ameamia hivi karibuni, anaishi mwenyewe. Nimetokea sana kuvutiwa nae, angalau niwe karibu nae, tuwe tunabadilisha mawazo, nimtoe hata outing chache.
Kila nikijaribu kumzoea nashindwa zaidi ya kumsalimia basi, nashindwa nimuingie vipi ili ajue nataka niwe karibu nae tuu hata kwa stori tuu.
Nifanyeje wakuu? Nahitaji mawazo yenu, najua kwenye hili jukwaa la Ma-Great Thinkers hapashindwi kitu
Umempa ushauri mzuri na pia ajipe mda wa kumchunguza huenda ana mtu wake.Wewe kijana tafuta pesa kwanza atakutafuta mwenyewe, acha tamaa zako....
Kipi sasa maana hata cha nida hana au kuraMwambie anajua wewe ni nani serikali hii? Halafu mwoneshe kitambulisho
Ungekua na pesa usingekosa mkebe ww huna pesa una za kubadilisha ugal na walSina gari lolote ila pesa ninazo
True! Hata akiwa mke wa mtu,ni easy tu!
Huyo bado mtoto
Mwambie anajua wewe ni nani serikali hii? Halafu mwoneshe kitambulisho
Vipi alisha kupa?Ha ha ha ... Anipatie namba ya huyo dada.