Natamani Kupima HIV Naogopa

Natamani Kupima HIV Naogopa

habari wana Jf natumaini mu wazima wa afya,
Naleta Thread yangu kwenu niweze kupata ushauri. ila ctapenda maneno ya karaha .
Natamani kupima afya yangu ila naogopa majibu, najua wengi mmepima. nahitaji faraja zitakazonisukuma niweze kutimiza ndoto hii.
Kwakweli sio jambo rahisi hasa ikiwa ndio mara yako ya kwanza..
Lakini niafadhali ukasema na moyo wako ukaenda sababu hakuna cha ajabu sikuizi sema nafsi kukubali matokeo ndio tabu
amini mimi sikunilipo pewa karatasi kwa ajili ya kwenda kupima kwa ajili ya kazi niliharishaa usiku kuchaaa,asubuhi yake nikaenda hospital natoa damu jasho linanitoka mpaka kwenye viganja vya mikono,nilijipa moyo nikasema niafadhali nijue
kama kuna chochote kuliko kuaibika siku ya kuja kuumwa ndio watu wote tena watajua haya nilimaza dua zote nnazozijua. nilipopewa majibu nilishukuru na nnazidi kumuomba mungu anilinde...na inshallah atakulinda na wewe utapata majibu mazuri..
 
Ha ha ha lazima ubanwe na mkojo.....ila itakuwa fresh Heaven on earth,muanzisha mada ana hofu tu maana alitoka mbeya kwa ajili yakufuata toto la jf Dar,anakwambia totoz haikuwa portable lakin ni mifupa.Sema nachoshukuru pozzyfaza hakuiacha.......hapo chachaaaaaa!

hahaaa kweli jf kisima cha burudani,totoz haikuwa portable lakin ni mifupa......

jana ulimuona kalikuwa anataka kuhamishia majeshi kwa Smile
 
Last edited by a moderator:
Usiogope, nenda kapime tu utapata ushauri mzuri nasaha wa jinsi ya kuishi endapo utakutwa na maambukizi. Kwani wasiwasi unatoka wapi dogo? Umepita kwenye miba? Pole, nenda kapime tuu, no prob.
 
habari wana Jf natumaini mu wazima wa afya,
Naleta Thread yangu kwenu niweze kupata ushauri. ila ctapenda maneno ya karaha .
Natamani kupima afya yangu ila naogopa majibu, najua wengi mmepima. nahitaji faraja zitakazonisukuma niweze kutimiza ndoto hii.

Kupima ndiyo majibu ya hofu zako. Tena fanya haraka ili kama unavyo upate ushauri an elimu ya kukusaidia ili cd4 zisishuke. Ukifuata masharti una uhakika wa kuishi 20+ bila ARV na ukianza dose ukifuata masharti una another 20+ yrs. Kwa hiyo utakufa na umri wa uzee kama wengine tu. Bora vvu kuliko cancer, presha na kisukari. Mifano hai ipo.
 
wengi wetu tuko wrongly informed kuhusu HIV AIDS, mafundisho kwa vijana yamekuwa ni yale yale toka darasa la tatu hadi chuo. wengi tumefundishwa kuugopa UKIMWI zaidi kuliko facts za UKIMWI wenyewe na ndo maana ukishasikia neno ukimwi kengele inayolia kichwani mwako ni HOFU na ndiyo maana tuna unyanyapaa na ubaguzi usio na sababu ya msingi. Serikali na mataifa hisani wanatoa fedha nyingi katika kufanikisha dhana ya kupunguza UKIMWI lakini wahusika wanafuja pesa ilihali vijana wanaendelea kuangamia. Hivi unajua watu kama wewe wenye HIV/AIDS phobia ni wengi sana nikiwemo mimi.

well, back kwenye ushauri ni kwamba elewa kuwa HIV sio uchawi na ili upate u need to really search,find and have it(INABIDI UUTAFUTE). namaanisha all factors are suppose to remain biologically constant. vile vile inategemea na how often u make the same mistake when u make contact to different people. (kiukweli kama huwa huvai kabisa plastic na unafanya na watu tofauti tofauti basi unakuwa katika hatari). kwa hiyo kama umekuwa makini kiasi cha kukumbuka plastic kwa kila tendo huna haja ya Kuogopa we nenda kapima, there is big chance uko negative.
 
mh! mara 3 umekimbia majibu ? we noma. sasa mm cjui kama nitaweza maana sehem nilizopita cziamini amini
 
Hatari sana Mkuu,lakini Ukiamua utaweza cha msingi Jiandae tu kiakili,kwani vp we majanga sana nini?
 
Nikipima nitakufa, nisipo pima nitakufa. heri nipime nikiwa mybe afya mgogoro najihisi hisi hivi.
 
wengi wetu tuko wrongly informed kuhusu HIV AIDS, mafundisho kwa vijana yamekuwa ni yale yale toka darasa la tatu hadi chuo. wengi tumefundishwa kuugopa UKIMWI zaidi kuliko facts za UKIMWI wenyewe na ndo maana ukishasikia neno ukimwi kengele inayolia kichwani mwako ni HOFU na ndiyo maana tuna unyanyapaa na ubaguzi usio na sababu ya msingi. Serikali na mataifa hisani wanatoa fedha nyingi katika kufanikisha dhana ya kupunguza UKIMWI lakini wahusika wanafuja pesa ilihali vijana wanaendelea kuangamia. Hivi unajua watu kama wewe wenye HIV/AIDS phobia ni wengi sana nikiwemo mimi.

well, back kwenye ushauri ni kwamba elewa kuwa HIV sio uchawi na ili upate u need to really search,find and have it(INABIDI UUTAFUTE). namaanisha all factors are suppose to remain biologically constant. vile vile inategemea na how often u make the same mistake when u make contact to different people. (kiukweli kama huwa huvai kabisa plastic na unafanya na watu tofauti tofauti basi unakuwa katika hatari). kwa hiyo kama umekuwa makini kiasi cha kukumbuka plastic kwa kila tendo huna haja ya Kuogopa we nenda kapima, there is big chance uko negative.

Even if he/she will be postive, still anayo nafasi ya Kuishi na Kutimiza Ndoto zake - ili mradi tu afuate ushauri atakaopatiwa na Wataalam !!
 
Back
Top Bottom