Natamani kuolewa

Natamani kuolewa

Hongera na omba mungu upate mume aliye mwema, wanaume wetu hawa ni majanga matupu kuwa mvumilivu utapata
 
jaman nataman sana kuolewa.napenda niwe na mume wangu na familia yangu.wanaume ninaowapata c waoaji na umri unazid kwenda.nina miaka 27 nipo mwaka wa 2 accounts.cjui nifanyeje nipate mume ambaye atakuja kwangu kwa nia ya kunioa.nasali sana mungu anipe mume bora.naiman ipo cku atanijibu kilio changu.naomba ushauri wangu nifanye mbinu gan nipate mume ambaye ni mchamungu na mwenye hofu na mungu.cjui wanapatikana wap wanaume waoaji.ushauriwenu tafadhal
tuko hapa jamii forum wanaume wao wajii....weka picha.
 
Unatuuliza sisi kwani huyo Mungu unayemuomba ameshindwa kazi? Acha matangazo au nia yako ulengwe humu?
 
580144_403051999805120_2119688081_n.jpg

hahahahahaah!!!!!!
 
Nywele bandia, kucha bandia, tabasamu bandia, nyusi bandia halafu wengiiiii wanataka waume wa kweli wakati yeye kila kitu feki dah!! Wadada mtaishia kucheza kwaito kwenye harusi za wenzenu hadi miguu iote sugu!!

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
jaman nataman sana kuolewa.napenda niwe na mume wangu na familia yangu.wanaume ninaowapata c waoaji na umri unazid kwenda.nina miaka 27 nipo mwaka wa 2 accounts.cjui nifanyeje nipate mume ambaye atakuja kwangu kwa nia ya kunioa.nasali sana mungu anipe mume bora.naiman ipo cku atanijibu kilio changu.naomba ushauri wangu nifanye mbinu gan nipate mume ambaye ni mchamungu na mwenye hofu na mungu.cjui wanapatikana wap wanaume waoaji.ushauriwenu tafadhal

Utapata wajinga wa kuwachuna umalize shule.
 
jaman nataman sana kuolewa.napenda niwe na mume wangu na familia yangu.wanaume ninaowapata c waoaji na umri unazid kwenda.nina miaka 27 nipo mwaka wa 2 accounts.cjui nifanyeje nipate mume ambaye atakuja kwangu kwa nia ya kunioa.nasali sana mungu anipe mume bora.naiman ipo cku atanijibu kilio changu.naomba ushauri wangu nifanye mbinu gan nipate mume ambaye ni mchamungu na mwenye hofu na mungu.cjui wanapatikana wap wanaume waoaji.ushauriwenu tafadhal

inaelekea wewe sio muolewaji ndio tatizo
 
jaman nataman sana kuolewa.napenda niwe na mume wangu na familia yangu.wanaume ninaowapata c waoaji na umri unazid kwenda.nina miaka 27 nipo mwaka wa 2 accounts.cjui nifanyeje nipate mume ambaye atakuja kwangu kwa nia ya kunioa.nasali sana mungu anipe mume bora.naiman ipo cku atanijibu kilio changu.naomba ushauri wangu nifanye mbinu gan nipate mume ambaye ni mchamungu na mwenye hofu na mungu.cjui wanapatikana wap wanaume waoaji.ushauriwenu tafadhal


Usichoke kusali kwa ajili hiyo Mungu atasikiliza sala zako.
 
jaman nataman sana kuolewa.napenda niwe na mume wangu na familia yangu.wanaume ninaowapata c waoaji na umri unazid kwenda.nina miaka 27 nipo mwaka wa 2 accounts.cjui nifanyeje nipate mume ambaye atakuja kwangu kwa nia ya kunioa.nasali sana mungu anipe mume bora.naiman ipo cku atanijibu kilio changu.naomba ushauri wangu nifanye mbinu gan nipate mume ambaye ni mchamungu na mwenye hofu na mungu.cjui wanapatikana wap wanaume waoaji.ushauriwenu tafadhal
Miaka 27....!
Haraka ya nini? Subiri baraka za Mungu
 
mmmmmmmmh... Kweli Mungu humpa kula mtu ubavu wake, ikitokea ukajichukulia ubavu wa mwenzako, hakika utakinywea kile kikombe Yesu alichonywea wakati anawafia waja wake...

Hahaha. Sasa shughuli inakuja kwamba utajuaje ubavu uliojitwalia ni wakwako na sio wa teambazazi?
 
Hahaha. Sasa shughuli inakuja kwamba utajuaje ubavu uliojitwalia ni wakwako na sio wa teambazazi?

Hapo sasa...
umemsoma huyo sista lakini? Ukibugi ukaingia chaka la namna hiyo wallah utaomba mbingu zishuke!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom