Natamani kuolewa

Natamani kuolewa

Dada nimecheka kidogo hapo "hujui wanapatika wapi waume waoaji"
Sali sana manake hao waoaji sijui wako wapi siku hizi
 
wakati tukiendelea kupata maoni mbali mbali kutoka kwa wadau...

tupate kiburudisho kidogo...


hahaha Excel,team video upo juu!
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wa wakifika 3rd year halafu mambo hayaeleweki huwa wanaanza kuchanganyikiwa. Either way, tulia tu utapata wa kukupenda. Ila usiwe mchaguzi sana
 
jaman nataman sana kuolewa.napenda niwe na mume wangu na familia yangu.wanaume ninaowapata c waoaji na umri unazid kwenda.nina miaka 27 nipo mwaka wa 2 accounts.cjui nifanyeje nipate mume ambaye atakuja kwangu kwa nia ya kunioa.nasali sana mungu anipe mume bora.naiman ipo cku atanijibu kilio changu.naomba ushauri wangu nifanye mbinu gan nipate mume ambaye ni mchamungu na mwenye hofu na mungu.cjui wanapatikana wap wanaume waoaji.ushauriwenu tafadhal
Dunia imeisha,
unaweza kukuta wewe ni DUME LA NGUVU NA UNAHAMU YA KUOLEWA
 
jaman nataman sana kuolewa.napenda niwe na mume wangu na familia yangu.wanaume ninaowapata c waoaji na umri unazid kwenda.nina miaka 27 nipo mwaka wa 2 accounts.cjui nifanyeje nipate mume ambaye atakuja kwangu kwa nia ya kunioa.nasali sana mungu anipe mume bora.naiman ipo cku atanijibu kilio changu.naomba ushauri wangu nifanye mbinu gan nipate mume ambaye ni mchamungu na mwenye hofu na mungu.cjui wanapatikana wap wanaume waoaji.ushauriwenu tafadhal
kitulize watakuja,,,ngoja wazisake....hela imekua adimu , so is waoaji:mvutaji:
 
Watoto wa mjini wanasema nipe tano,nimeipenda hii Lara

Wa mbili hashiki moja mama,jitambulishe who you are otherwise u will waste time cause watazidi kukuchezea.Ukijitambua wewe ni wa aina gani utajua unachotaka hutokuwa desperate, utakuwa na misimamo na utajua mtu gani anayekufaa.Hivi vitu vinatakiwa vije naturally na si kuvitafuta.

Mmmmmmmmmmmmh!

Ukijua wewe ni mwanamke wa AINA GANI kumpata mume anaekufaa haiakuwa shida! All you will have to do is LOOK AROUND YOU!
Sio kuwa wanaume wa kuoa hakuna basi tu, nabii hakubaiki nyumbani kwao.

Wtu wengi sanaa wanaingaga tricky situation. WEWE MWANAMKE WA AINA FLANI AFU UNATAKA MWANAUME TOFAUTI NA WEWE! WE ALL WANT A BETTER DEAL! BUT FOR HOW LONG??????????

Kabla sijalijua hili nilisumbka sanaaa! It took me time but i figure it out in the end. I am a spoiled little brat, ambae nafanya nachojisikia as long as i can remember. And kutokana na kuwa wa mwisho kuzaliwa na CARGO nilizopigishwa na Mama Lara not to mention the Millitary training of being raised A WOMAN properly incluing heavy cooking, washing, cleaning and DISCIPLINE . My oooh my!

Now that I AM MY OWN BOSS, I HATE COOKING, CLEANING ET AL! Napenda kula out, kujirelax,kustarehe na kuji spoil just MAKING IT UP TO MYSELF FOR THE LOST TIME!!!!!!! Better late than never.

Sasa basi nilikuwa nafanya blander katika kuchagua wanaume. I WAS LOOKING FOR A MAN FIT FOR MY OLD SELF! What i used to be. What my mama taught me how good man is supposed to be. Intelligent,lenient mother in law, church going, hard working, in my ability to control, something less strong than my father. Ukimpata sasa NDO KIMBEMBE! HAMDUMUUUU! WALA MAMO YA KUOANAHAYAFIKI!

I am a LUCKY PERSON AFTER ALL i do pray a lot. Nikaa nikiwapata sasa MY NEW CAN'T STAND THEM!!!!!!!!!!!! Ndo unakuta kijana mwenzio GOOD LOOKING sio utani, ila hajajijenga, so that means COOKING, CLEANING, KUKOPESHANA, OUTING SAHAU, kUKURUPUSHANA KWEDA Church na kwenye maombi, kusindikizana kwaya, Pombe kali unakunywa kwa kujificha, SHOPPING NDOTO, KUZEEKEA KENYE KOCHI LA TV, Not to mention Hypocracy ya kujifanya umerizika N YOU ARE SO PROUD OF HIM wakati kimoyo moyo unajisemea WHAT A FAILURE!!!!!!!!!!! Mi nabwaga manyanga. AGAIN!!!!

Ila now I KNOW WHO I AM AND WHAT I WANT!!!!!!! Akija kijana bado hajajipaga, namwambia, SWEETY, YOU ARE EVEY WOMANS DREAM MAN, BUT HONEY I AM PAST DREAMING, YOU ARE GOOD MAN N ALL, BUT CERTAINLY NOT M TYPE!!!!!!!!!! HII NAMBA WAACHIE WAKUBWA ZAKO! SOMETIME WHEN YOU ARE MUCH MUCH OLDER, WISE MAYBE RICHER YOU MIGHT HAVE THE OPPORTUNITY TO PLAY IN OUR CHAMPIONS LEAGUE (UEFA WHERE THE HEART DOESNT HAVE A CHANCE! ONLY LOGIC)

My point is maybe unatafuta MUME TOFAUTI NA WEWE TABIA YAKO ILIVO! ITAKUWA NGUMU SANAA KUMPATA!




Maisha ni kama kioo,ukicheka na yenyewe yanacheka
 
wataka mme awe na gari nzuri, nyumba nzuri, kazi nzuri, akaunti 6 za benki halafu awe mcha Mungu, sawa tumekuelewa endelea tu kumuomba Mungu atakupa. Kumbuka maombi ya mwenye dhambi ni makelele na chukizo mbele za Mungu
 
jaman nataman sana kuolewa.napenda niwe na mume wangu na familia yangu.wanaume ninaowapata c waoaji na umri unazid kwenda.nina miaka 27 nipo mwaka wa 2 accounts.cjui nifanyeje nipate mume ambaye atakuja kwangu kwa nia ya kunioa.nasali sana mungu anipe mume bora.naiman ipo cku atanijibu kilio changu.naomba ushauri wangu nifanye mbinu gan nipate mume ambaye ni mchamungu na mwenye hofu na mungu.cjui wanapatikana wap wanaume waoaji.ushauriwenu tafadhal

Sijui ushauriweje, weka bandiko love connect.
 
Unataman kuolewa unasifa za kuwa mke?? Kwa umri huo ungekuwa na sifa za mke ungekuwa tayar na mchumba....... Tatzo lenu mwanzon huwa mnajifanya dhahabu lakin baada ya kugundua umekuwa mstareheshaji ndio unaanza kutaka mume....... Hakuna mwanaume anayetaka kuoa mwanamke wamjin....... Yawezekana umechoropoa mimba huko mpaka umechoka sasa ndio unataka mtu wa kumuuzia mbuz kwenye gunia?! KIZURI CHA JIUZA😛eace:
 
Ha ha haaaaaa! kwan we dini gani? Kama vp nenda kanisani au msikitini ukaombewe maana unatisha miaka 27 unasubiri nn? au ndo ulikuwa unakula ujana kwanza? Unajua mambo kam hayo huwa yanakuja tu automatically ukiona hayakujii ujue unakasoro aidha hukujituliza ama unatabia ambayo si nzuri otherwise tuseme umerogwa basi
 
Mmmmmmmmmmmmh!

Ukijua wewe ni mwanamke wa AINA GANI kumpata mume anaekufaa haiakuwa shida! All you will have to do is LOOK AROUND YOU!
Sio kuwa wanaume wa kuoa hakuna basi tu, nabii hakubaiki nyumbani kwao.

Wtu wengi sanaa wanaingaga tricky situation. WEWE MWANAMKE WA AINA FLANI AFU UNATAKA MWANAUME TOFAUTI NA WEWE! WE ALL WANT A BETTER DEAL! BUT FOR HOW LONG??????????

Kabla sijalijua hili nilisumbka sanaaa! It took me time but i figure it out in the end. I am a spoiled little brat, ambae nafanya nachojisikia as long as i can remember. And kutokana na kuwa wa mwisho kuzaliwa na CARGO nilizopigishwa na Mama Lara not to mention the Millitary training of being raised A WOMAN properly incluing heavy cooking, washing, cleaning and DISCIPLINE . My oooh my!

Now that I AM MY OWN BOSS, I HATE COOKING, CLEANING ET AL! Napenda kula out, kujirelax,kustarehe na kuji spoil just MAKING IT UP TO MYSELF FOR THE LOST TIME!!!!!!! Better late than never.

Sasa basi nilikuwa nafanya blander katika kuchagua wanaume. I WAS LOOKING FOR A MAN FIT FOR MY OLD SELF! What i used to be. What my mama taught me how good man is supposed to be. Intelligent,lenient mother in law, church going, hard working, in my ability to control, something less strong than my father. Ukimpata sasa NDO KIMBEMBE! HAMDUMUUUU! WALA MAMO YA KUOANAHAYAFIKI!

I am a LUCKY PERSON AFTER ALL i do pray a lot. Nikaa nikiwapata sasa MY NEW CAN'T STAND THEM!!!!!!!!!!!! Ndo unakuta kijana mwenzio GOOD LOOKING sio utani, ila hajajijenga, so that means COOKING, CLEANING, KUKOPESHANA, OUTING SAHAU, kUKURUPUSHANA KWEDA Church na kwenye maombi, kusindikizana kwaya, Pombe kali unakunywa kwa kujificha, SHOPPING NDOTO, KUZEEKEA KENYE KOCHI LA TV, Not to mention Hypocracy ya kujifanya umerizika N YOU ARE SO PROUD OF HIM wakati kimoyo moyo unajisemea WHAT A FAILURE!!!!!!!!!!! Mi nabwaga manyanga. AGAIN!!!!

Ila now I KNOW WHO I AM AND WHAT I WANT!!!!!!! Akija kijana bado hajajipaga, namwambia, SWEETY, YOU ARE EVEY WOMANS DREAM MAN, BUT HONEY I AM PAST DREAMING, YOU ARE GOOD MAN N ALL, BUT CERTAINLY NOT M TYPE!!!!!!!!!! HII NAMBA WAACHIE WAKUBWA ZAKO! SOMETIME WHEN YOU ARE MUCH MUCH OLDER, WISE MAYBE RICHER YOU MIGHT HAVE THE OPPORTUNITY TO PLAY IN OUR CHAMPIONS LEAGUE (UEFA WHERE THE HEART DOESNT HAVE A CHANCE! ONLY LOGIC)

My point is maybe unatafuta MUME TOFAUTI NA WEWE TABIA YAKO ILIVO! ITAKUWA NGUMU SANAA KUMPATA!
mmmmmmmmh... Kweli Mungu humpa kula mtu ubavu wake, ikitokea ukajichukulia ubavu wa mwenzako, hakika utakinywea kile kikombe Yesu alichonywea wakati anawafia waja wake...
 
Ukitaka mume kutoka kwa Mungu acha kwanza uzinzi na kugegedwa na waume wa watu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom