kisanganyakiswata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 1,294
- 543
Wengine tumesoma thermometer degree 100. Aliyesoma nae hataki mwanamke aliyezaa. Pole
Wengine tumesoma thermometer degree 100. Aliyesoma nae hataki mwanamke aliyezaa. Pole
Duh mkuu taratibu, nataka nijiposition apo si umeskia anajiweza
Hahahahaha.....mfano HaiWords of wisdom!!!
Madem ni kama mahindi choma,
Una toa lines zako mbili upatie mwingine.
atakayebaki na gunzi shauri yake
Nipo PMHabari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa zote ulizohitaji mm ninazo,ila nimekosa sifa 1 tu,natamani uwe Mke wangu.Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baby Tanya.pole mpenzi kwa yaliyokusibu niko apa, tena tayari tunafanyaje sasa?
Maamuzi yako ni mazuri. Ila nijuavyo mimi hujaamua kuolewa bado. Kuna vitu umekariri kichwani mwako na vimekuathiri.Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yako mazuri sana.inaonekana una kiasi kizuri cha kufikiri..kuepuka usumbufu jioe mwenyewe.Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kadegree kuanzia kamoja. Kuna muswaada wa bila kuwa na cheti cha Form four hakuna kuoa. Baada ya miaka 20 inawezekana bila kufika masters hakuna ndoa, na vyuma vilivyokaza, kuna kauzoefu kameanza kuja, mahusiano mengi yameshavunjika kwa ukosefu wa ajira. Mwanamke anataka aolewe, mwanaume anaona ngoja kwanza atafute ajira ndio aoe kwa ushindani wa ajira uliopo miaka inaenda mwanaume anaonekana hatimizi ahadi what next, kweli mapenzi yanaisumbua duniaHabari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vigezo vyote nnavyo tatizo nipo mbali