Tabash yamashta
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 271
- 210
We dada Digriii ya ndoa haipo wala ya mapenzi, hapo utakaanga ubuyo tuHabari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app