Natamani kuoa, lakini

Soma mstari wa mwisho wa post yangu hapo juu iliyowekewa mabano.

Ndiyo maana nikasema itakuwa vigumu kama unafikiri unaweza kumpata mwenye vigezo vyote unavyotaka. Hata waliooa huwa wanaangalia vigezo viwili au vitatu ambavyo huwezi kuvifumbia macho na vingine ni either kurekebishana na ikishindikana ni kutafuta jinsi ya kuishi na udhaifu wa mwenzio. Mbali na hapo itakuwa vigumu na ukimwambia mtu ulishindwa kuoa kwa vigezo hivyo huwezu kueleweka. Hii ni sawa na tunavoishi na ndugu zetu, wafanyakazi wenzetu ambao kwa njia moja au nyingine wanakukwaza kutekeleza majukumu yako. Hali haliweza kukufanya uache kazi eti unakwazika. Watu wote tu kwenye sayari moja. Kwa maana ni kwamba ni vigumu kukweoa madhaifu ya wenzio. Hii inaanzia kwa mke kwamba hana vigezo vyote na haishii hapo itaenda kwa wafanyakazi wenzio hawako au hawafanyi unavotaka. Jaribu kutafakari..
 
Kijana unatafuta gonjwa ya moyo wewe. Kwa ushauri wangu wa kiutu uzima mtafute huyo wa kawaida na mengine mtafundishana na kurekebishana
 

Wengine misimamo kuibadilisha mpaka ngumi aisee ... aya utapata tu rafiki
 
Karibu Mkuu, Natumai utapata vitu vipya vingi vitavyokupa changamoto mpya. Kila la kheri brother
Vizuri sana mkuu. Ndio maana nimeweka wazi la moyoni hapa ili watu kama wewe wanipe mawazo. Nashukuru kwa ushauri wako mkuu.

Nashukuru sana mkuu KikulachoChako.. uwe na wakati mwema
Mkuu kutokana na michango yako...ama kwa hakika unaitendea haki avatar yako.....THUMB UP

unataka kuninyima nini na shikamoo zako... hahahahaaa.. marahaba shemeji yangu.. mzima weye?
Aaaahh....shikamoo shem..
 
Last edited by a moderator:
Karibu Mkuu, Natumai utapata vitu vipya vingi vitavyokupa changamoto mpya. Kila la kheri brother


Nashukuru sana mkuu KikulachoChako.. uwe na wakati mwema


unataka kuninyima nini na shikamoo zako... hahahahaaa.. marahaba shemeji yangu.. mzima weye?

Hahahahaaa....mi mzima shem nimezikubali nondo zako
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana shem... inabidi unipe mdogo wako yule mrembo mrembo yule nimlee pole pole... si unajua wazee ndio tunaongoza kwa ma-care? hahahahhahaha:cool2::cool2::cool2::cool2::cool2::cool2::cool2:

Hahahahaaa....mi mzima shem nimezikubali nondo zako
 
Mfundishe atajua , wewe pia inawezekana kuna vitu anataka ujue lakini hujui na yy atakufundishaa....
 
Karibu sana shem... inabidi unipe mdogo wako yule mrembo mrembo yule nimlee pole pole... si unajua wazee ndio tunaongoza kwa ma-care? hahahahhahaha:cool2::cool2::cool2::cool2::cool2::cool2::cool2:

Hahahaaa usijali shem mimi na wewe tena...ntakupa aisee maana naona ameanza anatishia uhai wa ndoa yangu
 
shemeji yangu mwenyewe!!!!! Na alivyo mrembo yule... hadi NAJIONEA wivu mwenyewe.
Hahahaaa usijali shem mimi na wewe tena...ntakupa aisee maana naona ameanza anatishia uhai wa ndoa yangu
 
Mature woman umri unaanzia 30...hao unaona wenye upeo wa kila kitu mostly wako in their 30s...wewe oa ambae atakuwa na muelekeo wa kuwa smart later...below 30 music..movies ndo wakati wao....watakomaa taratibu..

Asante..anatuonea kwakwel...siasa..teknolojia..hayo yote below 30 ni shidaaa
 

Mmmh...sounds boring...kuargue?????
 
 
Last edited by a moderator:
Sifa wanazotaka wao we unazo? Una gari nzuri? Una nyumba nzuri uzunguni? Una sex body yenye 6pacs? Una mho.. Sijui? Una pesa za kutosha? Ajira yako ama ofisi yako ni high quality? Kwanza hata uHB unao kweli? Je kimo chako? Utakuta una sifa moja tuu kati ya hizi ama huna kabisa halafu unataka.... Fyofyoto!! Keep cool and love ur woman if u have one..
 

si kweli mbona watu wenye izo sifa za ziada ni wengi? wew unaishi wap wenda sehemu ndo shida? ila kama unadate form 4 na 6 usitegemee kumpata. kwanza nijibu how old a u? wenda na miaka ni tatizo!
 

je wewe unataka mwanaume atakae kuoa awe na sifa hizo ulizotaja?
 
je wewe unataka mwanaume atakae kuoa awe na sifa hizo ulizotaja?

Wille ni jina la kiume, nina mchumba nitaoa sio mda..
Tuwapende hivihivi taratibu wanafaa, kikubwa watatuletea na watoto na ni wasaidizi wetu tuu, they cant be like us, they are women.. Is that understood!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…