Natamani kumuoa binti wa Kinyarwanda

Natamani kumuoa binti wa Kinyarwanda

KooZito

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2020
Posts
397
Reaction score
1,378
Wadau mnisaidie, niko katika umri ninaotakiwa kuoa. Lakini siku zote nimekuwa na ndoto ya kuoa mwanamke wa Kinyarwanda na hasa awe Mtutsi.

Navutiwa kwa urembo wao ila sijui tabia zao. Anayewajua anijuze. Vipi tabia zao za jumla? Nitawapataje ilhali Niko Dar? Msaada tafadhali.
 
Kumuoa unaweza , lakini kuishi naye kwa tabia zetu za kibongo utaona kama upo kifungoni!!kwanza wengi wao wana mapenzi ya kweli, lakini hataki ku kusikia una kitu kinaitwa mchepuko, na kama unatoka kazini saa tisa, haakikisha saa 10, uko nyumbani, anataka muwe mnakula wote chakula!!sasa kwa tabia zetu hizi ki kiswazi , ni ngumu sana ila ukiamua utaweza, ni kama vile mzungu, hataki uongo uongo kama huu tunaowafanyia kina KURUTHUMU!!na endapo ukimuudhi wana roho mbayaaa!!kuwapata kirahisi nenda karagwe, na ngara wako teleee!!!wale wa KIGARI huwawezi na sio wife materials kabisa, ila kama una pesa unaweza mlazimisha kuwa wife materials kwa muda tu!!ila ukimpata yule wa kawaida ukaanza kumtunza, na atapendeza tu.
 
Kumuoa unaweza , lakini kuishi naye kwa tabia zetu za kibongo utaona kama upo kifungoni!!kwanza wengi wao wana mapenzi ya kweli, lakini hataki ku kusikia una kitu kinaitwa mchepuko, na kama unatoka kazini saa tisa, haakikisha saa 10, uko nyumbani, anataka muwe mnakula wote chakula!!sasa kwa tabia zetu hizi ki kiswazi , ni ngumu sana ila ukiamua utaweza, ni kama vile mzungu, hataki uongo uongo kama huu tunaowafanyia kina KURUTHUMU!!na endapo ukimuudhi wana roho mbayaaa!!kuwapata kirahisi nenda karagwe, na ngara wako teleee!!!wale wa KIGARI huwawezi na sio wife materials kabisa, ila kama una pesa unaweza mlazimisha kuwa wife materials kwa muda tu!!ila ukimpata yule wa kawaida ukaanza kumtunza, na atapendeza tu.
Kwa nn wa Kigali sio wife material ina maaan mademu wa Dar sio wife material au kina dada wa Johannesburg?
N mifano tuu
 
Hapana mkuu kwa nilio associate nao hawajawahi kuwa wabinafsi kama hao unaotaka kuoa ni wana A ya ubinafsi.
Aahhh embu ngoja yani hao watusi kuna wenye A na E ya ubinafs

Ila ww uli associate na wenye E sio
 
Back
Top Bottom