tatizo pesaaaaaaHabari za wakati huu wanajf!""""
Naomba niende moja kwa moja kwenye
nimekua kwenye mahusiano na binti mmoja kwa mda wa mwaka 1 na 1/2 sasa.
Nimekumbana na yafuatayo:-
-Sikujua hapendi utani nikamtania Alinichoma kalamu na kwa kua nampenda nikavumilia
-wewe ni shetani tu.....kumbe unajifanya malaika. Pale unaponihitaji. Tu
Sababu kaniomba tsh.laki 2 na 1/2 nikamgomea kwa sababu hiyo ndo siku tumeingiziwa boom iitoshe na yeye kaingiziwa so sote tulikua na hela hivyo nikawa mgumu kumpa maana hana sababu za msingi
- Toka mbele ya macho yangu shetani wewe
hapo ni baadaye kidogo ......tulikua tinaelekea COED kufanya UE nikataka kumsaidia begi..... ndg yangu aliniaibisha mpaka machozi yalinitoka nikachulia poa tu.
Baada ya paper nikamfuata tuongee nikamuuliza kulikoni.
Akanijibu kuna mtu alimuudhi hivyo alikua na hasira(hasira za mtu mwingine ziniangukie Mimi?)(nikajisemea kimoyomoyo)
Nikajitahidi sana kuropoka nikamwambia siwezi kuendelea naye tena.....Akajibu poa (kirahic)(sijui alijuaje nampenda)
Tukaagana vizuri tu mida ya usiku napigiwa simu nafiki yake akidai niende nikamuone(mpenzi wangu) coz muda wote analia tu.....
Nikashindwa kujizuia nikaenda ndg.yangu"!!"!" Macho ya mtoto kike yalubadilika rangi nakuambia basi cjui ilikuaje nikamhug na kumsamehe....kabisa
Baada ya hapo ameendelea na tabia zake mara shetani Mara toka mbele ya macho yangu Mara my kuna lecture anitongoza mambow mengi
Kila nikitaka kumuacha naumia sana na cjui kwann inanitokea hivi
Ushauri wako ni wa maana sana naomba matusi yasiwepo
Hapana ni really kabisaUmekopi kutoka mahali?
Wewe pia waweza kunishauriwavulaa mje mumshauri mvulana mwenzenu sisi wanaume hili halituhusu
Thanks sasa......ina.....maana.......b.......Ila sawa huenda ni kwelitatizo pesaaaaaa
Pia na wewe unaweza changia jambongoja tuone wavulana wanavoshauriana hapa.
Sizani kama itakua suluhishoKama anakuita shetan kila ukienda beba biblia mkonon akianza unakemea pepo
Hivi wazazi wenzangu kwanini tunapeleka hawa vijana kusoma wasichokijua wala kutilia mkazo kukijuaHabari za wakati huu wanajf!""""
Naomba niende moja kwa moja kwenye
nimekua kwenye mahusiano na binti mmoja kwa mda wa mwaka 1 na 1/2 sasa.
Nimekumbana na yafuatayo:-
-Sikujua hapendi utani nikamtania Alinichoma kalamu na kwa kua nampenda nikavumilia
-wewe ni shetani tu.....kumbe unajifanya malaika. Pale unaponihitaji. Tu
Sababu kaniomba tsh.laki 2 na 1/2 nikamgomea kwa sababu hiyo ndo siku tumeingiziwa boom iitoshe na yeye kaingiziwa so sote tulikua na hela hivyo nikawa mgumu kumpa maana hana sababu za msingi
- Toka mbele ya macho yangu shetani wewe
hapo ni baadaye kidogo ......tulikua tinaelekea COED kufanya UE nikataka kumsaidia begi..... ndg yangu aliniaibisha mpaka machozi yalinitoka nikachulia poa tu.
Baada ya paper nikamfuata tuongee nikamuuliza kulikoni.
Akanijibu kuna mtu alimuudhi hivyo alikua na hasira(hasira za mtu mwingine ziniangukie Mimi?)(nikajisemea kimoyomoyo)
Nikajitahidi sana kuropoka nikamwambia siwezi kuendelea naye tena.....Akajibu poa (kirahic)(sijui alijuaje nampenda)
Tukaagana vizuri tu mida ya usiku napigiwa simu nafiki yake akidai niende nikamuone(mpenzi wangu) coz muda wote analia tu.....
Nikashindwa kujizuia nikaenda ndg.yangu"!!"!" Macho ya mtoto kike yalubadilika rangi nakuambia basi cjui ilikuaje nikamhug na kumsamehe....kabisa
Baada ya hapo ameendelea na tabia zake mara shetani Mara toka mbele ya macho yangu Mara my kuna lecture anitongoza mambow mengi
Kila nikitaka kumuacha naumia sana na cjui kwann inanitokea hivi
Ushauri wako ni wa maana sana naomba matusi yasiwepo
Yaani......[emoji23] [emoji23] [emoji23] hakyanani dunia hii kuna watu wanateseka..haya ni mateso bila chuki
Unataka mwenzio abakie kama penseli?Endelea kua nae, sababu bado haujawa na utayari wa kumuacha
Kiukweli sijui sababu ni nini haswa natamani sana ila nashindwaEndelea kua nae, sababu bado haujawa na utayari wa kumuacha