selina mrembo
Member
- May 18, 2020
- 54
- 68
Nilikuwa na mwanaume ambaye tushaachana kwa sasa, tulibahatika kupata mtoto mmoja tuliachana katika ugomvi flani tulirushiana maneno mengi mengi ila sio matusi wala sio kashfa ni ya kawaida tu. Mimi nimepata mwanaume handsome yani yeye haingii kwa huyu japo naye ni mzuri pia kama kuna post yangu mliiona kuwa kasoro yake ni mwislamu.
Natamani nimweke dp amwone tukiwa pamoja mana nikiwekaga picha ya mwanaume anaoneshaga kuumia. Tumeachana lakini yeye anaona dp yangu. Nilipenda sana niendelee kuwa na baba mtoto ila alikuwa ataki kurudi nyuma kakomaa tuachane sijui kwanini anaumiaga nikiweka picha.
Kuna siku nilimweka mwanaume wangu wa zamani kabla yake kwasababu alikuwa anamfahamu akaanza kutuma text za kulalamika kwanini nimemweka x dp wakati mimi na yeye hatuna mahusiano na alikuwa kwenye mahusiano mengine mapya nashindwaga kumuelewa kwanini ataki kuniacha free niendelee na life langu yaani ananifatilia ninachokifanya tangu mwezi wa pili hatuna mahusiano nimekaa kwa mda bila kuingia wasap juzi amenitumia text mbona niko kimya sana sionekani wasap jana katuma tena text naendeleaje ivi nimweleweje uyu x wangu.
Na alishawahi nidivert wakati tulishaachana watu waliokuwa wananipigia simu call zilikuwa zinaenda kwake badae nikaona wananiuliza mbona tukipiga simu anapokea mwanaume no imeishia ivi no ambayo ni ya x wangu nilivyompigia kumuulia akawa anagoma akidai hajui ila alikili kweli kuna call zangu zinaingia kwake ila akasema ajadivert na ajui imekuaje ikabidi nipige simu customer care nilivyopiga wakanambia kweli kanidivert wakanambia jinsi ya kujitoa nikajitoa ila nilivyomuomba anitoe akawa anadai hajui jinsi ya kujitoa.
Natamani nimweke dp amwone tukiwa pamoja mana nikiwekaga picha ya mwanaume anaoneshaga kuumia. Tumeachana lakini yeye anaona dp yangu. Nilipenda sana niendelee kuwa na baba mtoto ila alikuwa ataki kurudi nyuma kakomaa tuachane sijui kwanini anaumiaga nikiweka picha.
Kuna siku nilimweka mwanaume wangu wa zamani kabla yake kwasababu alikuwa anamfahamu akaanza kutuma text za kulalamika kwanini nimemweka x dp wakati mimi na yeye hatuna mahusiano na alikuwa kwenye mahusiano mengine mapya nashindwaga kumuelewa kwanini ataki kuniacha free niendelee na life langu yaani ananifatilia ninachokifanya tangu mwezi wa pili hatuna mahusiano nimekaa kwa mda bila kuingia wasap juzi amenitumia text mbona niko kimya sana sionekani wasap jana katuma tena text naendeleaje ivi nimweleweje uyu x wangu.
Na alishawahi nidivert wakati tulishaachana watu waliokuwa wananipigia simu call zilikuwa zinaenda kwake badae nikaona wananiuliza mbona tukipiga simu anapokea mwanaume no imeishia ivi no ambayo ni ya x wangu nilivyompigia kumuulia akawa anagoma akidai hajui ila alikili kweli kuna call zangu zinaingia kwake ila akasema ajadivert na ajui imekuaje ikabidi nipige simu customer care nilivyopiga wakanambia kweli kanidivert wakanambia jinsi ya kujitoa nikajitoa ila nilivyomuomba anitoe akawa anadai hajui jinsi ya kujitoa.
Last edited:
