LENGISHO
Senior Member
- Sep 15, 2017
- 169
- 245
Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa Rais wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka.
Sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa Rais.
Mshahara wa makamu wa Rais..
Waziri mkuu..
Spika wa bunge..
Mkuu wa majeshi ya ulinzi polisi,magereza..
Jaji mkuu..
Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
Sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa Rais.
Mshahara wa makamu wa Rais..
Waziri mkuu..
Spika wa bunge..
Mkuu wa majeshi ya ulinzi polisi,magereza..
Jaji mkuu..
Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?