Mifumo ya elim ina tuharibu sana watanzania.. tuna taka kufanya jambo mara moja na tupatie.. ukikosea umefeli haufai na hamna msaada zaid ya kuzidi kukutokomeza gizani... ila tuna sahau kua ukikosea ni atua nzur sana ya mwanzo wa kujifunza usicho kijua.. "wakat mwingine tuna jifunza kupitia makosa, na ukilipita hili utakua mwalim mzur kwa anae kuja"..
sasa tuje kwenye point.. nadhan kutaka kukimkimbia na stress unazo zipata ni matokeo ya kitu fln (tatizo) husika. Je umejaribu ku hainisha tatizo lenyewe? kama ndio umejaribu kutatua vipi? kama ki ushauri je ulimpata mtu sahih wa kusaidia utatuzi wa tatizo?.. ujue katika maisha ya ndoa kuna matatizo yanayo rekebishika haraka, mengine kidogo kidogo na mengine chance ya kurekebishwa ni ndogo hivyo una paswa kua mvumilivu.. upendo hujengwa na chuki pia hujengwa..
Hakuna kitu kisicho na kero na raha zake.. kila ndoa ina changamoto zake na kila mwanamke ana changamoto zake..matatizo yapo kila kona kikubwa ni uwezo wa kukabiliana nayo mkuu.. jitahidi kujenga, hata ukiondoka ukipata mwingine baada ya muda utafikia stage hii hii tena ya kuacha..
Mwisho ni kua tafuta watu sahihi wa kukusaidia.. si kila tatizo la ndoa utalifumbua mitandaoni, si kila mtu anaweza kukupa mwelekeo sahihi na wenye matunda...
Ahsante