facebook inaua rship sana....mi sitaki kusikia kitu kinaitwa fb...wajanja wengi kule...:A S angel:
I hate control frks... Jus bf tu?we utongozagi?kwan nayeye anatoa namba?sa wewe paswd yake yanin,kama ni mrembo,utakufa kwa concussion! Coz ata cyo fb, kwan upo nae mda wote?mwambie awablock wote na asiwaintatein.
Anyway me ndomana sijajiunga na sitakaa nijaribu..bora uku uku,.mnachangia uzi na ma ex,hawara,mume,bf,ad raha no1 knws u