Natamani kuanzisha TV ya kikabila kama Rwanda, Malawi na Uganda

Msulibasi

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
5,943
7,918
Itaaanza na lugha ya watemi na kutoa habari za Interlacustrine. Itasaidia kupinga mila potofu kwa kutumia lugha ya watemi.
 
Itaaanza na lugha ya watemi na kutoa habari za Interlacustrine. Itasaidia kupinga mila potofu kwa kutumia lugha ya watemi.

Hizo nchi ulizozitaja zina lugha ngapi za taifa? usichanganye lugha za kikabila na lugha za taifa
 
Rwanda, malawi, Uganda na wengineo wanaamini kabisa tv inayorusha lugha ya kitaifa tz ni capital tv tu, hizi steshen zngne kuanzia tbc, star tv, chanel 10, clouds na azam tv wanaamini ni tv za kikabila.
 
Rwanda, malawi, Uganda na wengineo wanaamini kabisa tv inayorusha lugha ya kitaifa tz ni capital tv tu, hizi steshen zngne kuanzia tbc, star tv, chanel 10, clouds na azam tv wanaamini ni tv za kikabila.

wewe lazima unafanya kazi capital tv
 
Itaaanza na lugha ya watemi na kutoa habari za Interlacustrine. Itasaidia kupinga mila potofu kwa kutumia lugha ya watemi.
Kwani ukiongea kwenye daladala wewe na wenzako unaona haitoshi hadi utake kutuonyesha nchi nzima kuwa wewe ni mkabira?????
 
Bado hujanishawishii na TV ya kikabila italeta mgawanyiko na siyoo ushirikiano kwenye mambo ya kijamiii...
 
Bado hujanishawishii na TV ya kikabila italeta mgawanyiko na siyoo ushirikiano kwenye mambo ya kijamiii...

unaamini tv zilizopo si za kimaeneo na hazitugawi? Tv yangu itajichimbia mikoa ya watemi kama mza,smiyu,geita mara bukombe kahama ilemela huko nitaelimisha kuondoa mauaji ya albino,ukeketaji,na uchimbaji wa vyoo
 
Hatare toka jamaa aingie ikulu jamaa zake wanawaza kinyumenyume.
 
nia yangu ni kupata maoni yenu juu ya vtuo vya redio na tv kama vina madhara kwa umoja wetu ama laah kwa mtazamo wangu vinatugaw
Wazo la kuanzisha Redio ya kikabila sio zuri,huu ni wakati wa kuuzidisha umoja wetu na sio kuugawa umoja wetu.Hayo mataifa uliyoyataja hapo kuna baadhi ya Wananch wanatamani kuwa WaTz.Rwanda wao wanajitahidi sana kuufuta ukabira na hawataki hata kuusikia hili ni Taifa linalopaswa kuigwa kwa jitihada zake naomba usizungumze ukabira sasa zungumza Utaifa tutakuunga mkono.
 
ukweli ni kuwa vituo vilivyopo vinatugawa kikanda kidini madhehebu na kikabila kwa manufaa ya wanasisa tupitie upya sheria zetu maana tz iapotea
 
Back
Top Bottom