ngoja hawa vijana wa vyuo vhkuu waje mtaan kuwaelimisha babu,bibi,mama,baba na vijana ambao walinyimwa haki ya elimu na ccm ili wasijue haki zao. acha bei ya vitu iwe juu,ukosefu wa ajira,hali ngumu ya maisha na tofaut iwe kubwa kat ya tajiri na maskini kama hayajazuka ya misri na tunisia.