Natakiwa kuwekewa vipandikizi kwenye uume, mirija ni miembamba haipitishi damu nyingi

malembeka18

JF-Expert Member
Jan 26, 2018
2,780
2,716
Habari wakuu, nimefanya vipimo juu ya tatizo langu la nguvu za kiume..shida imekuja kuonekana kuwa mirija yangu ya kwenye uume ni miembamba haileti damu nyingi kwenye uume ili kuweza kufanya tendo kwa ufasaha na ikibidi kurudia roundi nyingine...

Kwahiyo daktari kasema kuwa hakuna tiba nyingine zaidi yakuwekewa vipandikizi ktk uume kufanya damu iflow kwa wingi kwenye uume... ili iweze kufanya uume usimame imara na uweze kufanya tendo na kuweza kurudia roud nyingene maana ilikuwa kurudia round ni baada ya masaa 8.

Wakuu ni njia sahihi tiba hii ya kuwekewa vipandikizi ktk uume?
 
Daah pole sana

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Asante ndo hivyo nimeambiwa Misha inayoleta damu kwenye uume ni miembamba inafanya damu isiwe nyingi ktk uume hivyo kusababisha uume kutosimama muda mrefu na kusex kwa mda mfupi bila kuweza kurudia round nyingine... sehemu zingine koote hakuna shida shida ni hiyo
 
Habar wakuu nimefanya vipimo juu ya tatizo langu languvu zakiume..shida imekuja kuinekana kuwa mirija yangu yakwenye uume nimiembamba haileti damu nyingi kwenye umeme ili kuweza kufanya tendo kwa ufasaha na ikibid kurudia troundi nyingine... kwaiyo daktar kasema huwa hakuna tiba nyingine zaid yakuwekewa vipandikizi ktk uume kufanya damu iflow kwa wingi kwenye uume... ili iweze kufanya uume usimame imara na uweze kufanya tendo nakuweza kurudia roud nyinge..maana ilikua kurudia round nibaada ya masaa 8.. wakuu je ninjia sahihi tiba hii ya kuwekewa vipandikizi ktk uume
Duh naogopa kutoa medical advice nisije enda against your Doctor. Ila jaribu kula tangawizi mbichi inchi 2 na maji Lita 2-3 kwa siku kwa muda wa siku 14.

Narudia hii sio medical advice, ni maoni yangu unaweza fanya au usifanye na chochote kitakachokutokea, I will not be responsible for it.
 
Duh naogopa kutoa medical advice nisije enda against your Doctor.
Ila jaribu kula tangawizi mbichi inchi 2 na maji Lita 2-3 kwa siku kwa muda wa siku 14.
Narudia hii sio medical advice, ni maoni yangu unaweza fanya au usifanye na chochote kitakachokutokea , I will not be responsible for it.
Nimekuelewa ila tangawizi nshakunywa sana tu
 
Pole mkuu, mwenza wako akuelewe tu huku ukiachana na stress
Nimehangaika nayo kwa miaka 9 Kila daktar alikua anasema Niko sawa ni ishu yakisaikilojia zaidi..so huyu wasasa alipendekeza vipimo vyote kuanzia hormone, cholesterol, t3, t4, TSH, BP, sugar, testosterone.lh fertility hormones, penile Doppler uss na kuangalia mishipa ktk uume kama Iko vizur ndo kuja kuona kuwa mishipa ni miembamba kwahiyo damu ni ndogo inayokuwa ktk uume sababu ya mishipa miembamba hivyo kufanya uume uiswe strong na kuweza kurudia round nyingine ndani ya muda mfupi
 
Habar wakuu nimefanya vipimo juu ya tatizo langu languvu zakiume..shida imekuja kuinekana kuwa mirija yangu yakwenye uume nimiembamba haileti damu nyingi kwenye umeme ili kuweza kufanya tendo kwa ufasaha na ikibid kurudia troundi nyingine... kwaiyo daktar kasema huwa hakuna tiba nyingine zaid yakuwekewa vipandikizi ktk uume kufanya damu iflow kwa wingi kwenye uume... ili iweze kufanya uume usimame imara na uweze kufanya tendo nakuweza kurudia roud nyinge..maana ilikua kurudia round nibaada ya masaa 8.. wakuu je ninjia sahihi tiba hii ya kuwekewa vipandikizi ktk uume
Hii ni speed governor nzuri kabisa, fanya kwa ukamilifu, kurudia siyo hoja sana.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Habar wakuu nimefanya vipimo juu ya tatizo langu languvu zakiume..shida imekuja kuinekana kuwa mirija yangu yakwenye uume nimiembamba haileti damu nyingi kwenye umeme ili kuweza kufanya tendo kwa ufasaha na ikibid kurudia troundi nyingine... kwaiyo daktar kasema huwa hakuna tiba nyingine zaid yakuwekewa vipandikizi ktk uume kufanya damu iflow kwa wingi kwenye uume... ili iweze kufanya uume usimame imara na uweze kufanya tendo nakuweza kurudia roud nyinge..maana ilikua kurudia round nibaada ya masaa 8.. wakuu je ninjia sahihi tiba hii ya kuwekewa vipandikizi ktk uume
Ni kama nilisikia kwa sasa Muhimbili wanapandikiza uume, so unaweza kujichagulia na size unayoitaka.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Habar wakuu nimefanya vipimo juu ya tatizo langu languvu zakiume..shida imekuja kuinekana kuwa mirija yangu yakwenye uume nimiembamba haileti damu nyingi kwenye umeme ili kuweza kufanya tendo kwa ufasaha na ikibid kurudia troundi nyingine... kwaiyo daktar kasema huwa hakuna tiba nyingine zaid yakuwekewa vipandikizi ktk uume kufanya damu iflow kwa wingi kwenye uume... ili iweze kufanya uume usimame imara na uweze kufanya tendo nakuweza kurudia roud nyinge..maana ilikua kurudia round nibaada ya masaa 8.. wakuu je ninjia sahihi tiba hii ya kuwekewa vipandikizi ktk uume
Kwani ni lazima kurudia round mkuu
 
Back
Top Bottom