Nataka Unitongoze

Nataka Unitongoze

Status
Not open for further replies.

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,077
Reaction score
136,505
Kuna siku moja hivi nilikuwa sina hili wala lile. Nimekaa tu nyumbani naangalia dari, kuta, na sakafu za marumaru.

Basi nikampigia simu mshkaji kuona ana mpango gani kwa jioni ile.

Akasema 'Ngabu kwa nini tusiende Ramada tukajivinjari hapo?'. Nikasema poa. Nikaenda nikamkuta tayari keshafika yuko na wachuchu wawili.

Nikaagiza Pinot Grigio halafu nikajichanganya naye. Sasa nikawa nimevutiwa na yule binti mwingine, Janeth.

Nikaanza kupiga naye stori na mambo mambo. Sasa huhitaji kuwa mwanasayansi wa roketi za anga kung'amua kama nilikuwa nimemtamani. Hata yeye aliliona hilo lakini akawa anajishebedua tu.

Baadaye ndo akaniambia eti anataka nimtongoze. Nikapigwa na butwaa. Ina maana wakati wote huo nilikuwa simtongozi?

Kutongoza ndo kukoje kwani? Ni lazima useme maneno gani? Maana huenda hiyo sehemu ya mchezo mi bado sijaijua.
 
Kuna siku moja hivi nilikuwa sina hili wala lile. Nimekaa tu nyumbani naangalia dari, kuta, na sakafu za marumaru.

Basi nikampigia simu mshkaji kuona ana mpango gani kwa jioni ile.

Akasema 'Ngabu kwa nini tusiende Ramada tukajivinjari hapo?'. Nikasema poa. Nikaenda nikamkuta tayari keshafika yuko na wachuchu wawili.

Nikaagiza Pinot Grigio halafu nikajichanganya naye. Sasa nikawa nimevutiwa na yule binti mwingine, Janeth.

Nikaanza kupiga naye stori na mambo mambo. Sasa huhitaji kuwa mwanasayansi wa roketi za anga kung'amua kama nilikuwa nimemtamani. Hata yeye aliliona hilo lakini akawa anajishebedua tu.

Baadaye ndo akaniambia eti anataka nimtongoze. Nikapigwa na butwaa. Ina maana wakati wote huo nilikuwa simtongozi?

Kutongoza ndo kukoje kwani? Ni lazima useme maneno gani? Maana huenda hiyo sehemu ya mchezo mi bado sijaijua.
Wa aina hiyo anaweza kwenda na mtu mpaka kwenye chumba lodge/hotel or whatever the place na kudai hakujua nia ya jamaa.
 
Daaahh kweli bongo kwa ektin tu kiboko!demu unaweza kufika nae hadi geto ukimvua anauliza unataka kufanya nn?!hehehe ndo mana wanawake wengi huku bongo anaweza kukupenda na asiseme hadi mapenzi yanaexpire ndo anakuja kukwambia nilikuwa nakupenda sana!heheheh
 
Wa aina hiyo anaweza kwenda na mtu mpaka kwenye chumba lodge/hotel or whatever the place na kudai hakujua nia ya jamaa.

That's so stupid, though.

I mean, this whole entire time you've seen me ogling you but you wanna play dumb and act like you don't know what time it is?

Ain't nobody got time for that.
 
Kuna siku moja hivi nilikuwa sina hili wala lile. Nimekaa tu nyumbani naangalia dari, kuta, na sakafu za marumaru.

Basi nikampigia simu mshkaji kuona ana mpango gani kwa jioni ile.

Akasema 'Ngabu kwa nini tusiende Ramada tukajivinjari hapo?'. Nikasema poa. Nikaenda nikamkuta tayari keshafika yuko na wachuchu wawili.

Nikaagiza Pinot Grigio halafu nikajichanganya naye. Sasa nikawa nimevutiwa na yule binti mwingine, Janeth.

Nikaanza kupiga naye stori na mambo mambo. Sasa huhitaji kuwa mwanasayansi wa roketi za anga kung'amua kama nilikuwa nimemtamani. Hata yeye aliliona hilo lakini akawa anajishebedua tu.

Baadaye ndo akaniambia eti anataka nimtongoze. Nikapigwa na butwaa. Ina maana wakati wote huo nilikuwa simtongozi?

Kutongoza ndo kukoje kwani? Ni lazima useme maneno gani? Maana huenda hiyo sehemu ya mchezo mi bado sijaijua.
Mpaka useme nimekutani twende tukalale
 
Daaahh kweli bongo kwa ektin tu kiboko!demu unaweza kufika nae hadi geto ukimvua anauliza unataka kufanya nn?!hehehe ndo mana wanawake wengi huku bongo anaweza kukupenda na asiseme hadi mapenzi yanaexpire ndo anakuja kukwambia nilikuwa nakupenda sana!heheheh

Eti nataka unitongoze?

Kwani kutongoza ndo kukoje? Unasema nini hasa?

Manake mwisho wa siku hata mi mwenyewe nitajistukia kwa kusema maneno meeengi ambayo asilimia kubwa wala siyamaanishi.

Kwangu mambo ya mapenzi nayachukulia kuwa ni mchakato wa kiasilia. Yaani inakuwa wote mshasomana na mnaenda taratibu hadi kufikia hitimisho au muafaka fulani.

Lakini kutongoza? Hmm....
 
Alitaka mwambie tutaondoka wote leo na nitakutoa poa
 
Alitaka umdanganye danganye.. Kwamba unampenda ujaona mwingine zaidi yake, na Sex siyo lazima ila kama ukitaka nitafanya kwani baby utaninyima nikiomba?.. ha ha ha .. Na yeye ajibu Jamani wewe siku moja tu unataka wewe ha ha jamani huku akikulalia lalia mabegani.. Na kukutoa uchafu Wa uongo uongo

Umwambie utamuoa kiruuu
 
jamani fanyeni kazi jamani....mda wote mnawaza papuchi tu? mda wa kazi huu...ndomana zinapanda bei kila kukicha, madem wanapandisha bei,,,saa moja usiku angalau ndo tujadiri papuchi
 
"SASA HUHITAJI KUWA MWANASAYANSI WA ROKETI ZA ANGA KUNG'AMUA" mkuu ngadu hapa kama yale ya mke wa Trump na wa Obama!!
 
Alitaka umdanganye danganye.. Kwamba unampenda ujaona mwingine zaidi yake, na Sex siyo lazima ila kama ukitaka nitafanya kwani baby utaninyima nikiomba?.. ha ha ha .. Na yeye ajibu Jamani wewe siku moja tu unataka wewe ha ha jamani huku akikulalia lalia mabegani.. Na kukutoa uchafu Wa uongo uongo

Umwambie utamuoa kiruuu

Kweli mapenzi nayo bila uongo uongo hayaendi.

Wakati mwingine kijitu hata kama hukipendi unakiambia unakipenda ili mradi tu.

Laiti tungekuwa na uwezo wa kuona yaliyomo mioyoni na vichwani mwa watu kuhusu mapenzi, sijui hii dunia ingekuwaje.
 
Alikuwa Anamaanisha Anataka Umdanganye, Maana Kuna Baazi Ya Mademu Bira Kudanganywa Hawaendi.
 
Alikuwa Anamaanisha Anataka Umdanganye, Maana Kuna Baazi Ya Mademu Bira Kudanganywa Hawaendi.

Yaani hata kama si mzuri we mwambie ni bonge la mrembo, siyo?

Ama kweli uongo ni sehemu muhimu sana ya mahaba.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom