Nataka siku moja niwekeze katika teknolojia

2v1

Member
Mar 28, 2024
17
21
Habari zenu wadau, mimi ni kijana, natamani siku moja niwekeze katika teknolojia, kwa muda kidogo nimekuwa nikijifunza programu kwa kujipambania mwenyewe.

Nimejifunza kwenye simu kidogo kidogo, na hii ndiyo kazi ya kwanza ambayo nimefanikiwa kutengeneza katika simu yangu.

Ni app inayonisaidia kupiga hesabu kidogo katika biashara yangu. Mwenye maoni, ushauri, n.k usisite kunijuza.

 
Unaweza kuanza na hiyo hiyo uliyotengeneza sasa yaani itumie hiyo app yako kutest kama kuna wateja wanaweza lipa solution yaani hiyo app yako iwe MVP, baada ya hapo Anza kupokea feedback na ku-observe namna watu wanavyobehave na product yako kisha endelea kufanya marekebisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…