Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Huyu rais nilidhani angekuwa wa maana kumbe bora mpenda safari Kikwete. Huu udikteta angeupeleka kwenye mambo ya msingi angefanya la maana sana. Seems hana shughuli anazi create kama Mjinga mjinga yule taahira Paul Makonda
Umeona eeh hafai.
 

Kwani nimesema ashindwe kwenye kila kitu?

Hebu rudia tena kusoma labda utaelewa ninachotaka ashindwe.
 
Kaleteni Ben Saanane
 
Hakuna stori za uongo.
 
Mi nadhani ni vyema wampe List Max Mello ya hao wanaohitajika kisha aiweke humu tuone kwa nini wanahitajika kisha tupige kura sisi kuwa watajwe au wasitajwe.

Otherwise nakuunga mkono NN
 
Big up
U a intelligent one
 
Be care my son
 
Mkuu,huyu kiongozi sio mbaya ila kuna vitu vichache anakosea kama binaadam kwa kuruhusu mihemko yake binafsi iliyopitiliza kwenye mambo ya msingi,anatakiwa ajicontrol sana kwani mara nyingi jambo hili humuaribia,abadilishe mindset yake juu ya wanaomkosoa,naamini kwa uchapakazi wake akisikiliza hoja zao na kupata ushauri wa watu wake wa karibu anaowaamini zaidi,anaweza kutoboa sana,kwani sio wote wanaokukosoa hawana hoja,akilitambua hilo atafanya mambo makubwa sana

Akizipanga vizuri karata zake,anaweza kuwa the best president ever happened in our country
 
Hivi mna u hakika kuwa Rais ndiye kaagiza, kiongozi wetu hapa JF akamatwe?
====
Staha katika kumshauri rais ni muhimu.
Staha ninini?
Niwekee Tafsida katika haya maneno ili nizingatie staha ya ushauri kwa Rais.

(KIVUKO CHA MV DAR KILICHOSIMAMIWA KIMUCHAKATO NA WAZIRI WA UJENZI DK.MAGUFURI NA AKAKIKAGUA KWENDA BAGAMOYO NA KUTANGAZA NI KIZURI SANA CHA KISASA NI KIBOVU)

(ZITO KABWE ASEMA NDEGE ZA MAGUFURI NI MTUMBA ZILIPAKWA RANGI)

(UUZWAJI NYUMBA ZA NHC ULIOSIMAMIWA CHINI YA WAZIRI MAGUFURI ULIJAA UTATA)

Nipe mfano staha ipi hapa nitumie?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…