Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,805
- 43,239
- Thread starter
- #21
K' Matata mwenye pumzi zake.
Na ukongwe wako bado unakimbia mbio ndefu namna hiyo (jioni - 4 usiku si mchezo).
Ngoja nikuandalie Gold medal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahhahahaa wanasemaga uzee ni uchakavu....
Vile unajiweka ndo unakuwa.... umri ni mabadiliko ya namba tuu ila unavojiweka unaweza wapa mtihani watu kuamini umri wako.