Nataka nirudi kusali naogopa kutegwa

Nataka nirudi kusali naogopa kutegwa

Unafnya kwa ajili ya wanadamu na sio mungu maan unaogopa kutengwa
 
Hili ndilo tatizo. Watu siku hizi hasa wakristo wanaenda kanisani si kwa sababu wanaenda kuabudu au wanampenda Mungu ila wanaogopa kitengwa, wanataka tu wajisikie nao ni part of the community. Wanawaza nikifa sitozikwa, au nitakosa support nikipatwa na tatizo. Hii ndio sababu mchana kwenye mwanga wanajifanya walokole, gizani wazinzi balaa.
Ni kwa sababu kama mtoa mada hawamwogopi Mungu bali wanaogopa waumini na mchungaji asijue
NAKAZIA.
 
We nenda tu,waeleze ulipata changamoto,sasa Mungu kakusaidia zimeisha unaomba kurudi kundini ,utapewa utaratibu na ibada itaendelea usimwogope mwanadamu,mwogope muumba wako pekee.
Chukua huu ushauri.!
Usilikimbie kanisa la awali, kila mmoja ana makando kando yake, damu ya msalaba ndo hututakasa daima na alikuja kwa kusudi hilo.
Ukiteleza ukadondoka, usibaki hapo hapo bali simama faster jioshe songa mbele
 
Habari.

Nilikuwa njmeokoka Ila baada ya mihangaiko ya kimaisha nikajikuta niko mbali na kufanya chochote kinachohusiana na mambo ya Kiroho.

Mwaka Jana mwanamke niliyempa mimba alijifungua mtoto.

Nimejitafakari nimeona nirudi kanisani.

Ninaogopa sana suala la kutegwa.

Ninaogopa kusemwa vibaya na watu maana nilikuwa mtumishi haswa.

Nimefikiria nimeona bora nihame kanisa.
Tafuta hela wakukuombea wapo wengi...kuwa na msimamo.
 
Chukua huu ushauri.!
Usilikimbie kanisa la awali, kila mmoja ana makando kando yake, damu ya msalaba ndo hututakasa daima na alikuja kwa kusudi hilo.
Ukiteleza ukadondoka, usibaki hapo hapo bali simama faster jioshe songa mbele
Asante
 
Habari.

Nilikuwa njmeokoka Ila baada ya mihangaiko ya kimaisha nikajikuta niko mbali na kufanya chochote kinachohusiana na mambo ya Kiroho.

Mwaka Jana mwanamke niliyempa mimba alijifungua mtoto.

Nimejitafakari nimeona nirudi kanisani.

Ninaogopa sana suala la kutegwa.

Ninaogopa kusemwa vibaya na watu maana nilikuwa mtumishi haswa.

Nimefikiria nimeona bora nihame kanisa.

Kuna kutengwa na Mungu, halafu na wanadamu, tafakari sana maneno yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom