nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,914
Habari.
Nilikuwa njmeokoka Ila baada ya mihangaiko ya kimaisha nikajikuta niko mbali na kufanya chochote kinachohusiana na mambo ya Kiroho.
Mwaka Jana mwanamke niliyempa mimba alijifungua mtoto.
Nimejitafakari nimeona nirudi kanisani.
Ninaogopa sana suala la kutegwa.
Ninaogopa kusemwa vibaya na watu maana nilikuwa mtumishi haswa.
Nimefikiria nimeona bora nihame kanisa.
Nilikuwa njmeokoka Ila baada ya mihangaiko ya kimaisha nikajikuta niko mbali na kufanya chochote kinachohusiana na mambo ya Kiroho.
Mwaka Jana mwanamke niliyempa mimba alijifungua mtoto.
Nimejitafakari nimeona nirudi kanisani.
Ninaogopa sana suala la kutegwa.
Ninaogopa kusemwa vibaya na watu maana nilikuwa mtumishi haswa.
Nimefikiria nimeona bora nihame kanisa.
usimwogope mwanadamu,mwogope muumba wako pekee.