Ambo madogo yanayohitaji busara ya mazungumzo mezani kuliko kwenda kujaza case mahakamani fanya hivi ,kaeni muelewane mnamalizana vipi na pia hakikisha makubaliano mnayaweka katika maandishi ,ili akienda kinyume na hapo ndipo uende huko mahakamani japo kama hauko vizuri kifedha mahakamani usiende ,unaweza kuingia hasara mala 4 ya hiyo